Mtotomwema (@saudashaba6437) 's Twitter Profile
Mtotomwema

@saudashaba6437

ID: 1830708611519049729

calendar_today02-09-2024 20:46:15

5,5K Tweet

140 Takipçi

294 Takip Edilen

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Nani anawadanganya kwamba mtateka kila mtu? Nani amewambia kwamba kwa kuteka watu mtafanikiwa kunyamazisha umma? Nani anawambia kwamba Mbinu hii itafanya muogopwe au kunyamazisha watanzania wote? Kwa taarifa yenu, kila damu mnayomwaga inachochea hasira za watu, inaondoa uoga

Nani anawadanganya kwamba mtateka kila mtu?

Nani amewambia kwamba kwa kuteka watu mtafanikiwa kunyamazisha umma?

Nani anawambia kwamba Mbinu hii itafanya muogopwe au kunyamazisha watanzania wote?

Kwa taarifa yenu, kila damu mnayomwaga inachochea hasira za watu, inaondoa uoga
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️Enyi madhulmat!‼️ Mnafikiri ninyi na familia zenu ndo zina haki ya kuishi kwa amani, si wenzenu? Mnajua mnawajengea future mbaya SANA watoto wenu na ukoo wenu? Hizi hasira, maumivu mnazosababisha, damu na machozi ya maelfu na mamilioni zinazomwagwa kwa sababu ya matendo yenu

‼️Enyi madhulmat!‼️
Mnafikiri ninyi na familia zenu ndo zina haki ya kuishi kwa amani, si wenzenu?
Mnajua mnawajengea future mbaya SANA watoto wenu na ukoo wenu? 
Hizi hasira, maumivu mnazosababisha, damu na machozi ya maelfu na mamilioni zinazomwagwa kwa sababu ya matendo yenu
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️USHIRIKINA YATAWALA UONGOZI HUU‼️ Watu wameanza kushtuka na kuona dalili ya yale niliyokuwa napenyezewa Huyu mama yao lazima amepewa masharti magumu si bure! Hawa wanaoitwa Sungusungu kumbe ni uganga 🙄 Jamani haya mambo ktk uongozi ni ujinga - we tegemea Mungu na tenda haki

‼️USHIRIKINA YATAWALA UONGOZI HUU‼️
Watu wameanza kushtuka na kuona dalili ya yale niliyokuwa napenyezewa 
Huyu mama yao lazima amepewa masharti magumu si bure! Hawa wanaoitwa Sungusungu kumbe ni uganga 🙄
Jamani haya mambo ktk uongozi ni ujinga - we tegemea Mungu na tenda haki
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Good morning #Tanzania Dozi inaendelea.. 🩼 #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection #NoReformsNoElection Wanakaribia kupona haya madhulmati! Inject! 💉 #TutaelewanaTu

Good morning #Tanzania 
Dozi inaendelea.. 🩼
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
#NoReformsNoElection 
Wanakaribia kupona haya madhulmati!
Inject! 💉
#TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🚨Nyie wanafunzi wa Chuo ‼️🚨 Mnaenda kushiriki utoaji kafara?? Hebu gomeni! Msikubali kabisa ❌kwenda kwenye eti sherehe! Sherehe gani hizi na wengi wenu ni wa kabila tofauti! Acheni kuwa washiriki wa mambo ya kishirikna! Wanaenzi mila gani na huyu Mama ni wa Kizimkazi - si

🚨Nyie wanafunzi wa Chuo ‼️🚨
Mnaenda kushiriki utoaji kafara?? 
Hebu gomeni! Msikubali kabisa ❌kwenda kwenye eti sherehe! Sherehe gani hizi na wengi wenu ni wa kabila tofauti! 
Acheni kuwa washiriki wa mambo ya kishirikna! Wanaenzi mila gani na huyu Mama ni wa Kizimkazi - si
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Asanteni kwa upendo ❤️ 400k followers Instagram 🔥 Special shoutout to you sister, Mange Kimambi umenipa turbo-boost 🚀 🤣 #NoReformsNoElection ndo habari ya mjini

Asanteni kwa upendo ❤️
400k followers Instagram 🔥
Special shoutout to you sister, <a href="/mangekimambi/">Mange Kimambi</a> umenipa turbo-boost 🚀 🤣
#NoReformsNoElection ndo habari ya mjini
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Asanteni sana Baraza la Maaskofu Katoliki nchini (TEC) kwa kupiga marufuku viongozi wa Serikali/Kisiasa kuitwa mbele ya Madhabahu/Altare kuongea, kutoa hotuba, kusalimia au kusema chochote. Maana binafsi ni jambo ambalo lilikuwa linanikwaza sana. #NoReformsNoElection 🙏🏽

Asanteni sana Baraza la Maaskofu Katoliki nchini (TEC) kwa kupiga marufuku viongozi wa Serikali/Kisiasa kuitwa mbele ya Madhabahu/Altare kuongea, kutoa hotuba, kusalimia au kusema chochote.

Maana binafsi ni jambo ambalo lilikuwa linanikwaza sana.

#NoReformsNoElection 🙏🏽
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

👊🏽🔥 Safi sana Kanisa Katoliki! Madhulmat yafike kusali wakimaliza waende nyumbani! Kanisani hakuna hotuba sijui nini! Alafu usiku wanaenda kwenye uchawi na uganga 🚮 mfyuu! Proud Catholic - we must seek JUSTICE in order to get Peace! And let no politician use the pulpit to

👊🏽🔥
Safi sana Kanisa Katoliki! Madhulmat yafike kusali wakimaliza waende nyumbani! Kanisani hakuna hotuba sijui nini! Alafu usiku wanaenda kwenye uchawi na uganga 🚮 mfyuu! 

Proud Catholic - we must seek JUSTICE in order to get Peace! And let no politician use the pulpit to
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Waandaaji wa kipindi cha Cafe Talk wameitaarifu CHADEMA kuwa wameahirisha kipindi na Makamu Mwenyekiti Mhe. John Heche kama ilivyopangwa awali. Makamu Mwenyekiti ilikuwa akutane uso kwa uso na Msemaji wa Serikali, Mheshimiwa Gerson Msigwa kwenye mahojiano hayo.

Waandaaji wa kipindi cha Cafe Talk wameitaarifu CHADEMA kuwa wameahirisha kipindi na Makamu Mwenyekiti Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> kama ilivyopangwa awali.

Makamu Mwenyekiti ilikuwa akutane uso kwa uso na Msemaji wa Serikali, Mheshimiwa Gerson Msigwa kwenye mahojiano hayo.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

FYI Jakaya Kikwete Hakuna sheria mbaya kidogo na mbaya sana! Sheria mbaya ni sheria MBAYA. Full stop! Ila kama unataka viwango basi sheria za uchaguzi za Tanzania ni mbaya SANA kuliko hata ya Uganda! Yaani mfano matokeo ya kura za urais eti huwezi kuzipinga mahakamani?! Ni ya

FYI <a href="/jmkikwete/">Jakaya Kikwete</a> 

Hakuna sheria mbaya kidogo na mbaya sana! Sheria mbaya ni sheria MBAYA. Full stop!
Ila kama unataka viwango basi sheria za uchaguzi za Tanzania ni mbaya SANA kuliko hata ya Uganda! Yaani mfano matokeo ya kura za urais eti huwezi kuzipinga mahakamani?! Ni ya
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

No wonder anajiita Jasusi la Mbinguni 🤣 hapo wanaulizana kaibukaje hapo na ameishia wapi! Lazima wapenda haki wote tuungane kupambana na Jezebel! Mwisho wake ni mwaka huu ila tuhakikishe tunamalizana na udhalimu wake mapema 🚮 #NoReformsNoElection One of the most hunted man

No wonder anajiita Jasusi la Mbinguni 🤣 hapo wanaulizana kaibukaje hapo na ameishia wapi! 
Lazima wapenda haki wote tuungane kupambana na Jezebel! Mwisho wake ni mwaka huu ila tuhakikishe tunamalizana na udhalimu wake mapema 🚮
#NoReformsNoElection 

One of the most hunted man
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

#FreeWachokonozi #FreeWachokonozi #FreeWachokonozi Freedom of expression is guaranteed in the constitution of #Tanzania Samia Suluhu huwezi kupendwa kwa utekaji huu - in fact lazima uchukiwe kila kona! #TutaelewanaTu

#FreeWachokonozi 
#FreeWachokonozi 
#FreeWachokonozi 
Freedom of expression is guaranteed in the constitution of #Tanzania 
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> huwezi kupendwa kwa utekaji huu - in fact lazima uchukiwe kila kona! 
#TutaelewanaTu
Mbishi ⚖ (@bizy94) 's Twitter Profile Photo

🔥 Tanzanians, who's ready for TRUTH & CHANGE? 🇹🇿 Demand accountability from Suluhu & leaders! 🗳️ No more silence🚨let’s push for justice & transparency NOW! 💪 #TanzaniaRising #SuluhuAnswerUs Retweet if you’re in! 🚨#NoReformsNoElection

🔥 Tanzanians, who's ready for TRUTH &amp; CHANGE? 🇹🇿 Demand accountability from Suluhu &amp; leaders! 🗳️ No more silence🚨let’s push for justice &amp; transparency NOW! 💪 #TanzaniaRising #SuluhuAnswerUs Retweet if you’re in! 🚨#NoReformsNoElection