Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile
Salum Mwalimu

@salum_mwalimu

Naibu Katibu Mkuu Zanzibar | Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA]

ID: 3244594960

linkhttp://chadema.or.tz/ calendar_today10-05-2015 06:54:27

198 Tweet

8,8K Followers

83 Following

CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Tumeshinda kesi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Simanjiro. CCM watalipa gharama za kesi kwa viongozi walioenguliwa na kuwekewa mapingamizi.

CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Simanjiro#Uchaguzi 14 Dec, 2014 uliofanyika kwenye mitaa 16 na vijiji 8 ambavyo wagombea waliwekewa mapingamizi na kuenguliwa ni batili.

CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Jaji Mutungi amesema, anatembelea ofisi za vyama ili kuwa navyo karibu zaidi na kujua matatizo yanayo vikabili. #CHADEMA kanda ya kaskazini.

Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile Photo

Utakuwa uchaguzi wa kutafuta mabadiliko nje ya mfumo ulioshindwa na kuweka fikra mpya zinazohitaji mabadiliko ya mfumo na si sura mpya.

Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile Photo

Vijana wenzangu wa Dar, tusiogope foleni ya siku moja kwa gharama ya ugumu wa maisha kwa miaka 5, ushindi ni kura moja, huenda ikawa yako!

Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile Photo

Hatma ya Tanzania mpya yenye fikra, mawazo,maono na dhamira zenye kuakisi maana halisi ya uhuru wa kweli wa watanzania hatimae imefikiwa.

Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile Photo

"...Kwa mantiki hii nitakuwa mnafiki wa kujidangaya mimi mwenyewe na Watanzania kama nitasema bado nina imani na ccm.. " Edward Lowasa

Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile Photo

Kila uamuzi tunao uchukua unakuwa umeshafanyiwa tathimini ya kina ya kisiasa na kijamii. Hatukurupuki, tuko makini kama ilivyo kawaida yetu.

Salum Mwalimu  (@salum_mwalimu) 's Twitter Profile Photo

Tumeshafanya maamuzi na sasa tuna mgombea, tuna kila sababu ya kumuunga mkono ili alete ushindi wa UKAWA nawa watanzania wote. #TuiondoeCCM

Oluwagembe (@m_sungwa) 's Twitter Profile Photo

airtime ya Magufuli inaelekea mwisho,kama hakuitumia vzuri wiki hi kujinadi itakuwa kazi huko mbele maana huyu mzee mweupe anamshindo hatari