Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile
Saa 24

@saa24_digital

Info blog | funny tweets & Trends | Broadcasting from Tanzania 🇹🇿

ID: 1824710142287351808

linkhttps://saa24.co.tz/ calendar_today17-08-2024 07:30:09

488 Tweet

411 Followers

20 Following

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Polisi nchini India wamewakamata watahiniwa 48 kwa kujaribu kudanganya kwa kutumia teknolojia wakati wa mtihani wa serikali wa kuajiri walimu wasaidizi huko Gaibandha Ijumaa alasiri. Watahiniwa hao walikamatwa katika vituo 43 vya mitihani katika maeneo ya upazila ya Gaibandha

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Udereva wa wikiendi! Video iliyo trend mitandaoni imenasa dereva mzembe akiendesha bila kujali alama za barabarani, na hatimaye kugonga kingo ya barabara kwenye mzunguko. #saa24

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Mwamuzi Issa Sy alionekana kukataa mkono na mchezaji wa Algeria kisha wakati huo huo kwenda kupeana mikoni na wachezaji wa timu ya Nigeria. Hii ina maana gani? #saa24

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Mzigo wa simu za Nokia zilizoagizwa na mfanyabiashara wa simu wa Libya mwaka 2010 hatimaye zimewasili kwa mfanyabiashara huyo miaka 16 baadaye; baada ya kukwama kwenye maghala kwa muda huo. Simu hizo zilikwama kufuatia kuzuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Libya mwaka

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania ziachwe zifanywe na Watanzania - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa agizo hilo jijini Dodoma, Januari 14, 2026 alipofungua Kikao cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu wa Wizara

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mfumo Jumuishi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani (IDRAS) unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni utaongeza wigo wa Kodi na kusimamia usawa katika ulipaji wa kodi. Hayo yamebainishwa na Kamishna Mkuu

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ATUMA UJUMBE MAALUMU KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA MPIRA AFRIKA (CAF). Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda anatarajiwa kuwasilisha ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Mabaki ya walinzi 32 kutoka nchini Cuba waliokuwa wakimlinda Rais Maduro, waliouawa wakati wa shambulio la Marekani nchini Venezuela, yamerejeshwa Cuba katika viboksi vidogo siku ya jana Januari 16, 2026. #saa24

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Kwa Mujibu wa takwimu mbalimbali zaidi ya asilimia 90% ya ajali zote za barabarani husababishwa na makosa ya kibinadamu. Hayo ameyasema na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi isiyo ya Kiserikali inahusiana na Mpango wa Usalama wa Barabarani (TARSI) Maliki Barongo wakati akizindua mfumo

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewasili nchini Morocco kwa ziara maalum ya kikazi akiwa na jukumu la kuwasilisha ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, kwenda kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Serikali imetoa tamko kuhusu amri ya kima cha chini cha Mshahara kwa Sekta Binafsi na kuwataka waajiri na wafanyakazi wa sekta hiyo kuzingatia viwango vilivyowekwa katika utekelezaji wa amri hiyo. Hayo yamebainishwa Januari 16, 2025 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Waandamanaji wenye hasira wamevamia mitaa mbali mbali ya katika zaidi ya majimbo zaidi ya matano kupinga uwepo wa ICE, baada ya video mbalimbali kutapakaa mitandaoni zikionesha maafisa wa kikosi hicho wakimpiga risasi na kumuua mtu mwingine katika mji wa Minneapolis. Licha ya

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Afisa wa serikali anusurika jaribio la kuuawa, video za CCTV zinaonesha afisa huyo akilindwa na gari aina ya Toyota SUV aina ya LandCruiser 200 Series. 2,692 Iliyoonekana kupata hitilafu kutokana na mlipuko huo. #saa24

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Pepo kali na theluji inayoendelea kuzidi kipimo imeendelea kusababisha hasara, na safari hii imemkuta mtanzania. Tafadhali zimeendelea kutolewa kwa wananchi kuwa makini wanapokuwa katika shughuli zao za kila siku. #saa24

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Kweli Sikio La kufa Halisikii Dawa. Mwanamume aliyeshtakiwa kwa madai ya kumnyanyasa kingono mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Florida Memorial ameonekana akijaribu kumtomasa polisi wa kike alipokuwa akihamishwa kizuizini, mamlaka zilisema. Tukio hilo lilitokea wakati mshukiwa

Saa 24 (@saa24_digital) 's Twitter Profile Photo

Misiba ina mengi mno. Binti atambulisha wasichana wawili wanaosemekana kuwa waliokuwa marafiki wa kike wa marehemu katika msibani ambapo mke wa marehemu na familia nzima ilishiriki, na kutumia nafasi hiyo kuwakaribisha katika familia. #saa24