Soba
@s_soba
Attorney| Entrepreneur & a Patron~Die Hard Fan of Yanga🇹🇿
ID: 1599231901
16-07-2013 20:26:09
9,9K Tweet
929 Followers
619 Following
#MojaYaLeo_NaSSH Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia iliyobebwa na Dkt. Samia Suluhu ili kuokoa afya ya kila mmoja wetu na kutunza Mazingira yetu imepelekea kufanyika kwa Mkutano Mkubwa Wa Wakuu wa Nchi 25 barani Afrika hapa Dar ea Salaam kuieneza Afrika nzima. Pongezi sana #SSH