Mwinyikheri Ramadhani Baraza (@rmbaraza) 's Twitter Profile
Mwinyikheri Ramadhani Baraza

@rmbaraza

Katibu Ccm wilaya ya Geita 2019 - 2021
Katibu msaidizi itikadi na uenezi Ccm HQ Aprili hadi Juni 2021
Katibu Siasa na Uenezi (M) Iringa 2017 - 2019

ID: 946019824110534657

calendar_today27-12-2017 14:07:57

346 Tweet

996 Followers

481 Following

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

šŸ“ŒšŸ“ŒADUI WA CCM SIO CHADEMA, ACT WALA CUF, ADUI NI MAFISADI NA WATUMISHI WAZEMBE WASIOTANGULIZA UTU NA HAKI KATIKA KUWAHUDUMIA WANANCHI - MAKONDA "Mimi sina sababu ya kujipendekeza kwa watu ili niwe mwema kwao, heri nijipendekeze kwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi ili watu wake

šŸ“ŒšŸ“ŒADUI WA CCM SIO CHADEMA, ACT WALA CUF, ADUI NI MAFISADI NA WATUMISHI WAZEMBE WASIOTANGULIZA UTU NA HAKI KATIKA KUWAHUDUMIA WANANCHI - MAKONDA

"Mimi sina sababu ya kujipendekeza kwa watu ili niwe mwema kwao, heri nijipendekeze kwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi ili watu wake
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Mheshimiwa Lowassa ameitumikia nchi yetu katika nafasi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 35, akianzia ushiriki wake katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Mheshimiwa Lowassa ameitumikia nchi yetu katika nafasi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 35, akianzia ushiriki wake katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichokutana jijini Dar es Salaam, tareheĀ 29Ā JuniĀ 2024. #TunaendeleaNaMama #KaziIendelee

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichokutana  jijini Dar es Salaam, tareheĀ 29Ā JuniĀ 2024.

#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee
Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

šŸ“Dar es Salaam Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpangoambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongozaHafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za

šŸ“Dar es Salaam

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpangoambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani ameongozaHafla ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la Shughuli za Kiuchumi za
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

šŸ“ KATIBU MKUU DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA HAYATI MKAPA, CCM YATOA MILIONI 10 KUBORESHA MAJENGO YA SHULE LUPASO. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya 3, hayati Benjamin William Mkapa katika Kijiji

šŸ“ KATIBU MKUU DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA HAYATI MKAPA, CCM YATOA MILIONI 10 KUBORESHA MAJENGO YA SHULE LUPASO.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya 3, hayati Benjamin William Mkapa katika Kijiji
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Faraja kubwa kupata wasaa wa kuwasikiliza Bi. Eva, Bw. Hamidu na Bi. Sheila, wakazi wa Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera kuhusu matokeo ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji wa Kyaka-Bunazi yalipo makazi yao. Mradi huu ni sehemu ya miradi ya majisafi zaidi ya 1,000

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Mapema leo nikiwa na Rais Jamhuri ya Watu wa China Mheshimiwa Xi Jinping na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema, pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika. Kwa pamoja, tumeshuhudia uwekaji saini wa

Mapema leo nikiwa na Rais Jamhuri ya Watu wa China Mheshimiwa Xi Jinping na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema, pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika.

Kwa pamoja, tumeshuhudia uwekaji saini wa
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

CCM HAIHUSIKI NA MANENO YALIYOSEMWA ALIYEKUWA MKUU WA LONGIDO. CPA MAKALLA CCM inashinda Chaguzi zake kwa haki na sio Kwa kubebwa bebwa na itaendelea kushinda kwa sababu tumejipanga vizuri kushinda chaguzi zijazo_ _šŸ’ Sisi ni Chama kiongozi tumekubali kutokwenda Ngorongoro

CCM HAIHUSIKI NA MANENO YALIYOSEMWA  ALIYEKUWA MKUU WA LONGIDO. CPA MAKALLA

CCM inashinda Chaguzi zake kwa haki na sio Kwa kubebwa bebwa na itaendelea kushinda kwa sababu tumejipanga vizuri kushinda chaguzi zijazo_

 _šŸ’ Sisi ni Chama kiongozi tumekubali kutokwenda Ngorongoro
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Mapema leo nilipokutana kwa mazungumzo na IGP Camillus Mongoso Wambura pamoja na Makamishna na viongozi waandamizi wa Jeshi letu la Polisi, Ikulu, Dar es Salaam.

Mapema leo nilipokutana kwa mazungumzo na IGP Camillus Mongoso Wambura pamoja na Makamishna na viongozi waandamizi wa Jeshi letu la Polisi, Ikulu, Dar es Salaam.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Hongera kwa Klabu ya Yanga na Klabu ya Simba kwa kuibuka washindi katika michezo yenu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ya mwishoni mwa juma. Yanga mkifanya vizuri katika Klabu Bingwa na Simba katika Kombe la Shirikisho. Endeleeni kutupa burudani. Hamasa yangu na dua za kheri

Hongera kwa Klabu ya Yanga na Klabu ya Simba kwa kuibuka washindi katika michezo yenu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ya mwishoni mwa juma. Yanga mkifanya vizuri katika Klabu Bingwa na Simba katika Kombe la Shirikisho. Endeleeni kutupa burudani. Hamasa yangu na dua za kheri
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

RAIS SAMIA ALAKIWA KWA SHANGWE NA VIGELEGELE, AKIANZA ZIARA RUVUMA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewasili Mkoa wa Ruvuma na kupokelewa kwa nderemo na vifijo, wakati akianza ziara ya

RAIS SAMIA ALAKIWA KWA SHANGWE NA VIGELEGELE, AKIANZA ZIARA RUVUMA. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewasili Mkoa wa Ruvuma na kupokelewa kwa nderemo na vifijo, wakati akianza ziara ya
SAMIA APP (@samia_app) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichofanyika leo tarehe 17 Januari 2025, Dodoma, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichofanyika leo tarehe 17 Januari 2025, Dodoma, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Kada kindaki ndaki wa CCM Steven Wasira enzi za Mwalimu yupo! enzi za Mwinyi yupo! enzi za Mkapa yupo! enzi za Jakaya yupo! enzi za Magufuli yupo! enzi za Samia yupo! Leo amependekezwa kuwa Makamu M/Kiti wa CCM bara.

Kada kindaki ndaki wa CCM Steven Wasira enzi za Mwalimu yupo! enzi za Mwinyi yupo! enzi za Mkapa yupo! enzi za Jakaya yupo! enzi za Magufuli yupo! enzi za Samia yupo! Leo amependekezwa kuwa Makamu M/Kiti wa CCM bara.
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Mkutano Mkuu Maalum wa CCM leo tarehe 18 Januari 2025, jijini Dodoma, ikiwa ni siku ya kwanza ya mkutano huo uliopangwa kufanyika kwa siku mbili, tarehe 18 na

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Mkutano Mkuu Maalum wa CCM leo tarehe  18 Januari 2025, jijini Dodoma, ikiwa ni siku ya kwanza ya mkutano huo uliopangwa kufanyika kwa siku mbili, tarehe 18 na
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira, akizungumza wakati akiwashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi mara baada ya Kuchaguliwa katika nafasi hiyo. #kaziiendelee

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira, akizungumza wakati akiwashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi mara baada ya Kuchaguliwa katika nafasi hiyo.

#kaziiendelee
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa neema na baraka zake leo ninapotimiza umri wa miaka 65. Sifa njema zote ni zake Yeye, Mola Mlezi wa viumbe vyote. Nawashukuru nyote kwa salamu nyingi za kheri na upendo kwa siku hii, na kwa dua njema katika kazi ya kulitumikia

Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa neema na baraka zake leo ninapotimiza umri wa miaka 65. Sifa njema zote ni zake Yeye, Mola Mlezi wa viumbe vyote. 

Nawashukuru nyote kwa salamu nyingi za kheri na upendo kwa siku hii, na kwa dua njema katika kazi ya kulitumikia
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Taarifa ya kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa David Cleopa Msuya, kilichotokea leo katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Dar es Salaam. Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote. Apumzike kwa Amani.