
Nobee
@rasnobee
Teacher |Aspring Philanthropist |B.A.Ed | Udsm Alumnus |
ID: 2907409811
06-12-2014 07:27:47
1,1K Tweet
382 Followers
1,1K Following

“Mamia ya waliouwawa wakishiriki siasa wangejua mwisho wa madai ya mageuzi ni watawala kuwapa ahueni za kiuchumi wapiganaji vinara, pengine wasingejihusisha na siasa hata kidogo.” TM via The Chanzo thechanzo.com/2024/12/28/kwe…

Nobee Mmassy Jr (II) Moyo wa TAIFA ™️ Tunamlinda mwenyekiti Moyo wa TAIFA ™️ Kwa wivu mkubwa , mwenyekiti sio mtu wa kubamgaiza

Mmassy Jr (II) Nobee Moyo wa TAIFA ™️ Wanatuharibia chama, wametumwa

Nobee Tito Magoti Moyo wa TAIFA ™️ Hakuna kuhama chama wajumbe tutaamua








Polisi wamemrejesha Katibu Mkuu MNYIKA John John makao makuu ya CHADEMA usiku huu. Polisi, mrejesheni na M/M’kiti wa CDM, John Heche haraka iwezekanavyo popote mnapomshikilia. Pia, msiache kumrejesha Hilda Newton akiwa salama. Hakuna jinai wametenda. Acheni kusumbua raia wema.





