Cake's and foods (@rahma_makeki) 's Twitter Profile
Cake's and foods

@rahma_makeki

SIMBA SPORTS CLUBโค๏ธโค๏ธ
MAN CITY ๐Ÿฉต๐Ÿฉต

ID: 1797332145213509633

calendar_today02-06-2024 18:19:33

4,4K Tweet

1,1K Followers

775 Following

Nickson Kibabage๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@nicksonkibabag) 's Twitter Profile Photo

#TaifaKwanza #KataaVurugu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya kikao na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina Mohamed akiwa Addis Ababa Ethiopia alipokuwa anashiriki Mkutano wa Wakuu wa Mataifa ya Afrika (AU);

KaJeShA (@kajeshatz) 's Twitter Profile Photo

#TaifaKwanza #KataaVurugu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya kikao na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina Mohamed akiwa Addis Ababa Ethiopia alipokuwa anashiriki Mkutano wa Wakuu wa Mataifa ya Afrika (AU); Aidha, Rais

KaJeShA (@kajeshatz) 's Twitter Profile Photo

#TaifaKwanza #KataaVurugu Tuwapuuze Wanahakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi dhidi ya propaganda nyepesi. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pia amechaguliwa kwa Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (AU) kwa mwaka 2026 akimsaidia Rais wa Burundi

KaJeShA (@kajeshatz) 's Twitter Profile Photo

#TaifaKwanza #KataaVurugu Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi pamoja na Wanasiasa wao wanaowashikia akili wanapinga mchakato wa maridhiano na hatimaye Katiba mpya kwa sababu wanajua watakosa agenda, lengo lao ni kuchoma

KaJeShA (@kajeshatz) 's Twitter Profile Photo

#TaifaKwanza #KataaVurugu Kushiriki au kutokushiriki juhudi za kuleta pamoja Taifa letu katika mchakato wa maridhiano uliotangazwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan haijawahi kuwa sababu ya kukiuka Sheria na Kanuni tulizojiwekea.

BARADHULI๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@baradhuli2) 's Twitter Profile Photo

Jitihada za Rais Samia za kulinda amani na usalama nchi Tanzania zimepongezwa na kuungwa mkono na viongozi wote walioshiriki kwenye mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi wa umoja wa Afrika. Tunasonga Mbele Bila Kelele.

KaJeShA (@kajeshatz) 's Twitter Profile Photo

Ngadu #TaifaKwanza #KataaVurugu Hongera Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuteuliwa kuwa kinara ya afya ya Uzazi, Mama na Mtoto wa Umoja wa Afrika. Afrika na Dunia inatambua mchango wako katika sekta ya Afya na juhudi

Cake's and foods (@rahma_makeki) 's Twitter Profile Photo

Chini ya uongozi thabiti wa Samia Suluhu , Taifa letu linaaminika Linasikilizwa Na linaheshimika katika meza za maamuzi ya dunia Hii ni matokeo ya diplomasia makini kazi na maono ya maendeleo Tanzania inasonga mbele kwa hadhi na utu #KaziNaUtu #TunasongaMbele

Kizimkazi (@mamasamia2025) 's Twitter Profile Photo

Taifa kuwa imara chini ya Mama Samia, Serikali imara haina rushwa wala ufisadi. Moja ya mambo ambayo Tundu Lissu amemuuliza Makamu Mwenyekiti wake John Heche ni kuhusu zoezi la uendeshaji wa michango yake ya Krisimasi, imekuaje imeliwa na hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya

Taifa kuwa imara chini ya Mama Samia, Serikali imara haina rushwa wala ufisadi.

Moja ya mambo ambayo Tundu Lissu amemuuliza Makamu Mwenyekiti wake John Heche ni kuhusu zoezi la uendeshaji wa michango yake ya Krisimasi, imekuaje imeliwa na hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya
cousin 420 (@420cousin) 's Twitter Profile Photo

Sekta za Utalii na Kilimo zimeendelea kuwa vyanzo muhimu vya mapato ya taifa, uzoefu unaonyesha kuwa sekta hizi ni fragile kutokana na misukosuko ya kimataifa mfano wa janga la COVID-19 na mabadiliko ya bei katika soko la dunia. . Tanzania kijiografia. ni lango la biashara la

๐— ๐—ฟ ๐˜€๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ผ (@mrsiyengo) 's Twitter Profile Photo

Mpango wa Rais Dkt. Samia Suluhu wa BIMA ya afya kwa wote umerudisha tabasamu ambalo familia NYINGI ziliikosa. Tuna furahi na kutamba kwakuwa sasa hata tukipata changamoto uhakika wa matitabu upo.

Cake's and foods (@rahma_makeki) 's Twitter Profile Photo

Huu ni mwelekeo sahihi wa kimkakati unaojengwa juu ya jiografia ya Tanzania na uongozi wa maono wa Samia Suluhu Hassan kuifanya nchi kuwa kitovu cha biashara usafirishaji na uzalishaji wa kikanda kwa uchumi imara unaostahimili misukosuko ya dunia #KaziNaUtu

๐— ๐—ฟ ๐˜€๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ผ (@mrsiyengo) 's Twitter Profile Photo

Tanzania ya Mama Samia Suluhu inang'ara. Uongozi wa Rais Samia umelijenga taifa letu kuwa kielelezo cha mafanikio, heshima, na maendeleo duniani kote. Kwa juhudi zake thabiti, Tanzania inashika nafasi ya kipekee kimataifa, ikiwa ni nguzo imara ya ....

๐— ๐—ฟ ๐˜€๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ผ (@mrsiyengo) 's Twitter Profile Photo

Uongozi wa Rais Samia umemfanya Tanzania kuwa nchi inayoheshimika kimataifa. Dunia sasa inatambua juhudi za Tanzania kuimarisha uchumi na ushirikiano wa kikanda, na tunaonekana kama mfano mzuri wa maendeleo.