peter peter (@peter_thp) 's Twitter Profile
peter peter

@peter_thp

Digital Content Creator/Social Media Influencer/Nature Lover/Football Fanatic/@ManUtd
#Ajalisasabasi
#BiasharaMtandaoni
#DigitalMarketing

ID: 1042358946600636416

calendar_today19-09-2018 10:25:13

5,5K Tweet

425 Followers

878 Following

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Hatuwezi kuzungumzia uimara wa uchumi wakati shughuli zetu za kila siku zinaathiriwa na mabadiliko ya hali ya hewa na tabianchi. Kuna umuhimu serikali na wadau wa maendeleo kushirikiana na kuangalia mbinu madhubuti za kukabiliana na mabadiliko haya. #PolicyForumBreakfastDebate

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Hofu iliyopo miongoni mwa taasisi za serikali katika kufanya kazi na vyombo vya habari hasa katika habari za kiuchunguzi ni chanzo kinachopelekea kukosekana kwa taarifa sahihi na muhimu kwa maendeleo mapama ya jamii. Annastazia Rugaba-Marondo - Twaweza - ni sisi #SautiZaWaandishi

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

These are some of the Local and International Brands I have worked with so far. I would like to thank each and everyone who has played a part in my working journey for almost one decade now. You all have trusted me and I have delivered high quality work and on time

These are some of the Local and International Brands I have worked with so far.

I would like to thank each and everyone who has played a part in my working journey for almost one decade now. 

You all have trusted me and I have delivered high quality work and on time
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

When life turns against you, be a student of the game. Observe without judgement, find meaning in the chaos, and let every setback be a page in the story of your resilience.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Sekta ya Uziduaji inabeba maono ya dhamana ya kukuza Pato la Taifa, wakati huo huo kuongeza kwendana na Mabadiliko ya Kidunia" Mhe. Dotto Biteko, Naibu Waziri Mkuu. #JukwaalaUziduaji2024 #SustainableEnergyTz HakiRasilimali

"Sekta ya Uziduaji inabeba maono ya dhamana ya kukuza Pato la Taifa, wakati huo huo kuongeza kwendana na Mabadiliko ya Kidunia"
Mhe. Dotto Biteko, Naibu Waziri Mkuu.
#JukwaalaUziduaji2024 
#SustainableEnergyTz 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

All these advanced economies interested in critical mineral exploration have a unified approach. I suggest that resource-rich African countries adopt a similar strategy to ensure that, as Africans, we fully benefit from these investments." β€” John, AFRODAD #JukwaalaUziduaji2024

All these advanced economies interested in critical mineral exploration have a unified approach. I suggest that resource-rich African countries adopt a similar strategy to ensure that, as Africans, we fully benefit from these investments."
β€” John, AFRODAD
#JukwaalaUziduaji2024
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Win or not, SC Tundu A Lissu has unveiled the ugliest chapter of the available alternative. Time to rethink and take active role in liberating our country from corrupt ruling elite’s capture.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

RUKWA: Ripoti ya CAG imebaini jengo la bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum (Shule ya Msingi Mkamanye) limekamilika kwa Tsh. 20M lakini halitumiki. Sababu Hakuna vitanda, magodoro, na maji. Imagine, wanafunzi maalum wananyimwa huduma kwa uzembe huu.
#UwajibikajiKwaMaendeleo

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Happy new year good people, pale tumekosea 2024 tumejifunza. Tuongeze juhudi kwenye kazi, nidhamu ya fedha, afya binafsi na kuwekeza kwenye familia. Usijishughulishe na maisha ya watu ambao huna ukaribu nao, punguza chuki kwa watu hawakuhusu, penda watu wako kwa vitendo.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Unavyozidi kukua na kupambania Riziki ndio unagundua kuna nguvu za kiroho zinatumika kutuangusha bila sisi kujua au kuwa na maarifa nazo. We must upgrade our faith game.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Ukipata vihela, nunueni viwanja na mashamba. Biashara zinakufaga au kushuka, ajira zinaweza kupotea au kuisha, ila una shamba lako, una viwanja, you have another chance to rejuvinate your life.