#Personal Contact (@pcontact5) 's Twitter Profile
#Personal Contact

@pcontact5

ID: 834146093856342016

calendar_today21-02-2017 21:01:41

130 Tweet

97 Followers

629 Following

Youth Partnership Countrywide (@ypc_tanzania) 's Twitter Profile Photo

3. Juhudi za pamoja zinahitajika kukuza fursa za ajira na kuajiri kwa vijana 4. Mazingira wezeshi ya kisera na kisheria yanahitajika 5. Elimu ya Ujasiriamali inahitajika zaidi. #KaziBoraKwaVijana Actionaid Tanzania

3.  Juhudi za pamoja zinahitajika kukuza fursa za ajira na kuajiri kwa vijana
4. Mazingira wezeshi ya kisera na kisheria  yanahitajika
5. Elimu ya Ujasiriamali inahitajika zaidi.
#KaziBoraKwaVijana <a href="/ActionAidT/">Actionaid Tanzania</a>
#Personal Contact (@pcontact5) 's Twitter Profile Photo

This is pretty magic Place,Kitulo National Park #Unforgettable January Makamba kigwangalla_fan_page tanapa utaliisafari utalii_mag utaliisafari utalii_wa_ndani_na_nje_ya_nchi nyumbaniutalii utalii_college_tz instagram.com/p/BzIcYqeJrRK/…

#Personal Contact (@pcontact5) 's Twitter Profile Photo

Imeelezwa watu wanaoendesha baiskeli wapo katika kundi la usalama zaidi kutopata ajali kwa kiwango kikubwa ambapo ni asilimia 4% tu ndiyo hupata ajali. #ajalisasabasi Kangilugola Safiri Salama Tanya Russell

Imeelezwa watu wanaoendesha baiskeli wapo katika kundi la usalama zaidi kutopata ajali kwa kiwango kikubwa ambapo ni asilimia 4% tu ndiyo hupata ajali.
#ajalisasabasi
<a href="/kangilugola/">Kangilugola</a> 
<a href="/safiri_salama/">Safiri Salama</a> 
<a href="/tamwa/">Tanya Russell</a>
Safiri Salama (@safiri_salama) 's Twitter Profile Photo

Asilimia 93% ya ajali za barabarani duniani hutoka nchi zenye kipato cha chini na kati #Tanzania ikiwemo. Maboresho ya sheria yetu ya usalama barabarani ya mwaka 1973 yatasaidia kudhibiti idadi ya ajali na vifo. #Ajalisasabasi

Asilimia 93% ya ajali za barabarani duniani hutoka nchi zenye kipato cha chini na kati #Tanzania ikiwemo. Maboresho ya sheria yetu ya usalama barabarani ya mwaka 1973 yatasaidia kudhibiti idadi ya ajali na vifo.
#Ajalisasabasi
Safiri Salama (@safiri_salama) 's Twitter Profile Photo

Zaidi ya nusu ya vifo vya ajali barabarani ni Watembea kwa Miguu, Waendesha Baiskeli na Pikipiki. Kuna kila sababu ya serikali kupitisha maboresho ya sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 kunusuru makundi haya. #RoadSafety #Ajalisasabasi

Zaidi ya nusu ya vifo vya ajali barabarani ni Watembea kwa Miguu, Waendesha Baiskeli na Pikipiki. Kuna kila sababu ya serikali kupitisha maboresho ya sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 kunusuru makundi haya.
#RoadSafety 
#Ajalisasabasi
#Personal Contact (@pcontact5) 's Twitter Profile Photo

Takribani Dakika zaidi ya 40 wasafiri wa mikoani wamekwama katika eneo la Vigwaza mkoa wa Pwani kutokana na kinachelezwa kuwa ni ajali hali ambayo bado inawapa maswali wasafiri na watumiaji wa barabara kuu ya Dar es salam-Mbeya. #safiri_salama #tamwa_ #ajalisasabasi

Takribani Dakika zaidi ya 40 wasafiri wa mikoani wamekwama katika eneo la Vigwaza mkoa wa Pwani kutokana na kinachelezwa kuwa ni ajali hali ambayo bado inawapa maswali wasafiri na watumiaji wa barabara kuu ya Dar es salam-Mbeya.
#safiri_salama
#tamwa_
#ajalisasabasi
#Personal Contact (@pcontact5) 's Twitter Profile Photo

Watuamiaji wa Barabara kuu kutoka Dar es salam-Mbeya wakumbwa na bumbuwazi baada ya kukwama njiani kwa muda wa zaidi ya saa moja na nusu kutokana ajali ilihusisha magari mawili ya mizigo kugongana na kuwaka na kuteketea kwa moto Safiri Salama #ajalisasabasi Tanzania Media Women UN Road Safety

Watuamiaji wa Barabara kuu kutoka Dar es salam-Mbeya wakumbwa na bumbuwazi baada ya kukwama njiani kwa muda wa zaidi ya saa moja na nusu kutokana ajali ilihusisha magari mawili ya mizigo kugongana na kuwaka na kuteketea kwa moto
<a href="/safiri_salama/">Safiri Salama</a>
#ajalisasabasi
<a href="/TAMWA_/">Tanzania Media Women</a> 
<a href="/UNRSC/">UN Road Safety</a>
Safiri Salama (@safiri_salama) 's Twitter Profile Photo

Habari za muda huu mdau wetu. Karibu jukwani tujuzane Unafahamu nini kuhusu matumizi ya alama na michoro ya barabarani? Mimi ni Assenga Magari Tz🦁 kutoka #Ajalisasabasi kampeni. Karibu #ElimikaWikiendi tushirikishane machache kuhusu mada ya leo.

Habari za muda huu mdau wetu. Karibu jukwani tujuzane Unafahamu nini kuhusu matumizi ya alama na michoro ya barabarani? Mimi ni <a href="/GjAssenga/">Assenga Magari Tz🦁</a> kutoka #Ajalisasabasi kampeni. Karibu #ElimikaWikiendi tushirikishane  machache kuhusu mada ya leo.
January Makamba (@jmakamba) 's Twitter Profile Photo

Faith, belief or trust don’t mean the absence of doubt. You have faith, belief or trust in something, or in someone, because you don’t have sufficient doubts about them.