Omar Said Shaaban
@omarshaaban80
ACT Wazalendo Principal Legal Counsel and Minister for Trade and Industrial Development (SMZ)
ID: 4041803781
http://www.saidattorneys.com 25-10-2015 22:06:29
2,2K Tweet
8,8K Takipçi
623 Takip Edilen
ZIARA AWAMU YA PILI 1. KC Dorothy Semu: Tanga Handeni Vijijini. 2. M/Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita Jimbo la Temeke 3. Katibu Mkuu, Ado Shaibu Mtwara Vijijini na Mtama 4. KC Mstaafu, Zitto MwamiRuyagwa Kabwe: Ruvuma Jimbo la Nyasa Mbambabay #Miezi10 #WanachamaMilioni10 ACTWazalendo
ZIARA AWAMU YA PILI 1. KC Dorothy Semu: Tanga Handeni Vijijini. 2. M/Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita Jimbo la Temeke 3. Katibu Mkuu, Ado Shaibu Mtwara Vijijini na Mtama 4. KC Mstaafu, Zitto MwamiRuyagwa Kabwe: Ruvuma Jimbo la Nyasa Mbambabay #Miezi10 #WanachamaMilioni10 ACTWazalendo
Mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara utarushwa mubashara. Usiwache kufuatilia. #Miezi10 #WanachamaMilioni10
Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo Ndugu, Dorothy Semu amepanda jukwaani kuzungumza na Wananchi wa Jimbo la Handeni Vijijini. Fuatilia hapa 👇 x.com/i/spaces/1RDGl…
📍Handeni Vijijini, Tanga "Kutokana na NFRA kushindwa kuwa rafiki kwa Wakulima sasa wametokea madarali rukuki wanao nunua mazao kwa Wakulima kwa bei ya chini na kuendelea kumfanya Mkulima kukosa ahueni ya kazi ya mikono yake" Kiongozi wa Chama, Dorothy Semu
📍Kibaha Vijijini "Vyombo vya usalama vimeshindwa! Tumeendelea kuona matukio ya utekaji na mauaji yakileta hofu kwa wananchi. Tunataka majibu. Tunataka Rais aunde Tume ya Kijaji kuchunguza matukio haya. Kisha itoe majibu kwa Wananchi." Kiongozi wa ACTWazalendo Dorothy Semu
Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu amefanya mikutano ya hadhara katika Jimbo la Handeni Vijijini. Ndugu KC katika hotuba yake amezungumzia namna Wakulima wanavyonyanyaswa na NFRA. KC ametaka wakulima kulipwa fedha zao papo kwa papo. #Miezi10 #WanachamaMilioni10
PICHA Jana Kiongozi Mstaafu wa ACTWazalendo, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe amefanya Mkutano wa Hadhara katika Jimbo la Ludewa Mkoani Njombe. Leo Mwami yuko Njombe Mjini; ambako atafanya mkutano wa hadhara. #Miezi10 #WanachamaMilioni10
ZIARA AWAMU YA PILI SEPT 14 1. KC Dorothy Semu: Tanga Jimbo la Kilindi. 2. M/Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita Jimbo la Ukonga 3. Katibu Mkuu, Ado Shaibu Jimbo la Mafia. 4. KC Mstaafu, Zitto MwamiRuyagwa Kabwe: Jimbo la Njombe Mjini #Miezi10 #WanachamaMilioni10 ACTWazalendo
Katibu wa Idara ya Fedha, Ndugu Rachel Kimambo akizungumza na wakaazi wa Kata ya Ruhuhu Ludewa Mkoani Njombe. Ndugu Rechal yuko katika Msafara wa Mwami Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kwenye ziara hii ya awamu ya pili; ziara yenye madhumuni ya kushajiisha usajili wa #WanachamaMilioni10 kwa #Miezi10
Ladies and Gentlemen our very own party leader Doroth Manka Semu ACTWazalendo Dorothy Semu