Neema Lugangira
@neemalugangira
Proud Mother👫| MP @bunge_tz | Founder @omukahub @agrithamani @apnigafrica | Board @parlnetwork @IPNEducation | MAG @intgovforum | Mentor @SADCYouthParly
ID:4140714021
https://www.parliament.go.tz 08-11-2015 09:45:24
15,8K تغريدات
21,3K متابعون
3,6K التالية
Follow People
Nimeshirikiana na Msichana Initiative kuandaa Semina kati ya Jukwaa la Hedhi Salama na Wabunge kutoka Kamati za Bajeti na Afya; na Wabunge Vinara wa Wanawake ktk Siasa ambapo tumejadili #PediBilaKodi #PediBure kwa wanafunzi kwa kuzingatia Serikali ilishatoa Kodi lakini bei haikushuka.
Nimekutana na Gerson Msigwa, Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa kuwasilisha Taarifa ya Awali ya Maandalizi ya #MabintiCup ambayo ni Ligi ya Mpira wa Miguu ya Wanawake niliyoanzisha kwa kushirikiana na Chama Cha Soka Kagera. Namshukuru kwa ushauri aliotupa wenye tija. #PigaTekeUkatili ⚽️
Nimechangia katika Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga la Taifa WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA na nimeishauri Serikali:
🔸Tuwekeze katika Electronic Warfare ili Jeshi letu likabiliane na Vita ya Kidijitali
🔸 JKT izalishe mbegu za mazao ya chakula ili kuepusha chakula kutumika kama silaha
Kipekee namshukuru sana Madam Bahati, Mkuu wa Shule ya Sekondari Kagemu kunipa heshima kubwa ya kuwa Mgeni Rasmi kwenye Sherehe ya Kidato cha Sita ambapo niliwakilishwa na Mary, Mratibu wa #NeemaNaMaendeleo . Nimewapa ushauri, nimewatakia heri na nawapenda sana #KagemuGirls ❤️🙏
Hongera sana Kiongozi wetu, MNEC Suzan Peter Kunambi kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu UWT 💪🏽
Karibu sana na #JeshiLaMama limekamilika hivyo #TukutaneSite #SSH2025 ✅
#UWTImara Chini ya Chatanda na Shomari 🔥
Queen of Sports Prisca Kishamba ndio Msemaji wa #MalkiaCup na namshukuru mdogo wangu kuridhia ombi langu ❤️ #Semaji
Kupitia #MabintiCup tutaibua na kukuza vipaji vya wasichana na wanawake kwenye mpira wa miguu, tutatumia michezo kuchangia maendeleo na kufanikisha #PigaTekeUkatili ⚽️
#MabintiCup ni Ligi ya Mpira wa Miguu ya Wanawake inayounga mkono jitihada za Mhe Rais Samia Suluhu kukuza usawa wa kijinsia katika michezo & kutumia michezo kuchangia kumuinua mtoto wa kike na mwanamke. Usajili wa Timu kufanyika mwezi Juni & Julai; tujiandae. #PigaTekeUkatili ⚽️
Kupitia #SportsXtra Clouds Media nimetangaza ujio wa Ligi ya Mpira wa Miguu ya Wanawake #MabintiCup ambayo itaanzia Kagera; mwakani tutaenda ngazi ya Kanda na Kitaifa misimu ijayo. Aidha, Shukrani za kipekee kwa Rais TFF TANZANIA na Mhe NW Wizara ya Sanaa 🙏 #PigaTekeUkatili ⚽️
From Year 2021-2024, I championed Gender Equality in Politics & Chair the Women in Politics MP Group. Today, I had great discussions with both National Democratic Institute 🇹🇿 & Friedrich-Ebert-Stiftung Tanzania who are great partners. We penciled in key next activities, to be done in partnership with WiLDAF Tanzania & Omuka Hub.
Kikao cha Pili na Prisca Kishamba tukijadili #MabintiCup Ligi ya Mpira wa Miguu ya Wanawake niliyodhamiria kuanzisha na namshukuru Prisca kwa kukubali kuwa Msemaji wa Ligi yetu yenye lengo la kutuma ujumbe kupitia Michezo kuhamasisha Usawa wa Kujinsia. #PigaTekeUkatili #KickOutGBV ⚽️
Nampongeza sana Mhe Rais Samia Suluhu kwa kuibeba Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia barani Afrika na kufanikisha kupata jumla ya ahadi za kiasi cha USD Bilioni 2.2 kwa lengo la kufanikisha Ajenda hii muhimu wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika
Nimechangia Bajeti ya Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari na kuishukuru Serikali kwa kufanyia kazi ushauri wetu:
🔹Sasa #EGA ipo chini ya Wizara hii
🔹Kodi Mpya ya Huduma za Kidijitali “Digital Service Tax” #DST ilianza kutozwa Julai 2023 na kufikia Aprili 2024 #TRA walikusanya Kodi Sh Bilioni 12.6
Karibia miaka 3 iliyopita nilichangia Bajeti ya Wizara ya Kilimo 2021/22 niliomba Vituo vya Rasilimali ya Kilimo Kata (Ward Agriculture Resource Centre) vifufuliwe.
Nimefurahi Bajeti ya Wizara ya Kilimo 2024/25 Vituo hivi vinakwenda kufufuliwa.
Asante Mhe Waziri Hussein M Bashe 👏🏽