Omuka Hub
@OmukaHub
Promoting digital skills, community networks, digital rights & democracy, data governance & AI, online safety and access to information | Host @apnigafrica
ID:1451597695009890304
22-10-2021 17:14:11
437 Tweets
533 Followers
603 Following
Ili kurahisisha upatikanaji wa elimu za kiafya. Tumetoa ujuzi kwa Wanawake Wajawazito kituo cha Afya Buhembe #BukobaMjini , ili waanze kutumia mitandao kupata elimu za kiafya ambazo zitaboresha afya zao na za Watoto wao kabla na baada ya kuzaliwa.
#DigitalInclusion
Tumetoa ujuzi wa kidigitali kwa Wanafunzi, namna gani wanaweza kutumia simu kujifunza masomo mbalimbali na kuwa salama pindi wanapotumia mitandao. Tutaendelea kufikia Wanafunzi wengi kupitia Club za TEHAMA tulizoanzisha mashuleni.
#Digitalinclusion
Kupitia Semina ya 30% ya Ununuzi wa Umma iliyotengwa kwa Makundi Maalum ambayo Omuka Hub tulitoa kwa Viongozi Wanawake, Viongozi CCM, Madiwani & Wajasiriamali Wanawake #BukobaMjini tumekuza uelewa wa fursa & mfumo wa NeST. Tunajiandaa na awamu ya 2
Africa Freedom of Information Centre (AFIC) PPRA_Tanzania
Shirika letu Omuka Hub tumefanikiwa kutaarifu & kuwezesha Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii 71 kutoka Kata 14 #BukobaMjini kuandaa maombi yao ya Ajira ktk Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii chini ya Wizara ya Afya Tanzania πΉπΏ & OFISI YA RAIS TAMISEMI. Tunawatakia kila la heri #CHW wote.
Tunawatakia Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla, heri ya sikukuu ya Eid. Tuendelee kudumisha amani na upendo.
#Eidmubarak
Kufuatia laptop na printer tulizotoa kwa Watendaji wa kata ya Kashai, Kahororo, Miembeni, Kibeta na Nshambya Bukoba Manispaa, tumewazungukia kuwaunganishia vifaa hivyo kwaajili ya matumizi. Tutaendelea kuwapatia ujuzi ili wafanye shughuli zao kidigitali. #digitalinclusionTz
Tumeendelea kutoa ujuzi wa kidigitali kwa vitendo kwa Wanafunzi wa Sekondari, ili kuhamasisha na kuchagiza matumizi sahihi ya vifaa vya kidigitali katika shughuli zao za kitaaluma. #DigitalInclusionTz
Tarehe 23/02/2024 tulihitimisha Semina yetu mahususi kuhusu 30% ya Ununuzi wa Umma ambapo washiriki walikua ni Wanawake wafanya Biashara na Maafisa ununuzi. @omukahub tunawashukuru Shirika la AfricaFreedom of Information Centre na PPRA_Tanzania , kwa kutuunga mkono.
Leo Omuka Hub, Africa Freedom of Information Centre (AFIC) na PPRA_Tanzania, tumeandaa Semina kuhusu 30% ya Ununuzi wa Umma kwenda kwa Makundi Maalum. Washiriki walikuwa Viongozi Wanawake, Viongozi CCM na Madiwani. Tutaendelea kuhakikisha kundi la wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na wazee wananufaika.
Biashara za wanawake zinakosa uwezo wa kufasiri na kuandaa zabuni zinazoweza kujibu. Africa Freedom of Information Centre (AFIC) , Omuka Hub na mashirika mengine ya kiraia yanapaswa kushirikiana na PPRA katika kubuni na kutekeleza mipango ya kuongeza uwezo ili wanawake katika biashara waweze kushiriki
Training of public officials on their role in implementing the PPRA_Tanzania law is key. PPRA and ministry of Finance should enforce existing laws in line with payment of providers and contractors, especially special groups-Gilbert Sendugwa #WomenInProcurement #Womeninbusiness
Join us live as we tackle the challenges faced by women-owned businesses in accessing government procurement opportunities. #WomenInProcurement #womeninbusiness
Omuka Hub Neema Lugangira twitter.com/i/broadcasts/1β¦
ππΌ Meet our #board
Hon. Neema Lugangira, MP, Tanzania
She brings forth national & international recognition, with extensive experience and a successful track record in championing policy advocacy & legislative reforms across various sectors
Learn more transformhealthcoalition.org/about/
Tumetoa ujuzi wa kidigitali kwa Wakina Mama wajawazito, namna ya kupata ushauri wa kiafya wa mambo muhimu ya kuzingatia kipindi ch ujauzito kwa kutumia simu zao za mkononi. Ili kuhakikisha usalama wa mtoto pindi awapo tumboni na baada ya kujifungua #DigitalInclusionTz