Mwanaisha Mndeme (@mwanaishamndeme) 's Twitter Profile
Mwanaisha Mndeme

@mwanaishamndeme

Advocate,Notary Public & Commissioner for Oaths|Secretary for Foreign Affairs|Shadow Minister for Industry and Trade @ACTWazalendo|Tanzanian

ID: 978577444239265792

linkhttp://Www.womenandyouthvoice.co.tz calendar_today27-03-2018 10:20:18

18,18K Tweet

13,13K Takipçi

681 Takip Edilen

The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Zitto: Thamani ya uhai imepotea Tanzania, taifa halithamini utu "Katika nchi yetu thamani ya uhai wa binadamu inapotea, tumekuwa taifa ambalo halithamini utu, halithamini uhai. Kila mtu sasa hivi anaona ana uwezo wa kutesa mtu, wa kutoa uhai wa mtu na hakuna kitakachomtokea,

NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Kazi ya kulinda demokrasia katika taifa letu inaendelea bila kusita. Sauti ya mwananchi lazima iheshimiwe, na kura yake lazima ilindwe kwa gharama yoyote. Mapambano haya ya kizalendo—tunayoyaita Operesheni Majimaji ya kisasa—inaendelea kila kona ya nchi hadi haki itendeke, hadi

Kazi ya kulinda demokrasia katika taifa letu inaendelea bila kusita. Sauti ya mwananchi lazima iheshimiwe, na kura yake lazima ilindwe kwa gharama yoyote.

Mapambano haya ya kizalendo—tunayoyaita Operesheni Majimaji ya kisasa—inaendelea kila kona ya nchi hadi haki itendeke, hadi
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Kiza Mayeye-Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Kigoma amesema kuwa miongoni mwa sababu ya kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni kutoshughulikia changamoto za afya.

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo KC Dorothy Semu yuko Jimbo la Shinyanga Mjini. Ndugu NTOBI Naibu Waziri Kivuli wa TEHAMA, ambaye pia ni Mwashinyanga—atakuwepo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Leo KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> yuko Jimbo la Shinyanga Mjini. Ndugu <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a>  Naibu Waziri Kivuli wa TEHAMA, ambaye pia ni Mwashinyanga—atakuwepo.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Uganda ardhi inayolima kahawa ni hekta 80,000 hivi, Tanzania ardhi hekta 270,000. Uganda mwaka wa jana wamepata USD bilioni 2 kwenye kahawa, sisi tumepata USD milioni 300. CCM imeshindwa kusimamia kilimo na wakulima.” KC wa Zamani Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo Naibu Katibu wa Ngome ya Wazee Taifa, Ndugu Ally Mtumweni amefanya mazungumzo na Uongozi wa Ngome Jimbo la Tanga Mjini. Kikao hichi kina madhumuni ya kuwandaa wazee wa chama kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba. Iso kongwe haivushi. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Leo Naibu Katibu wa <a href="/NgomeyaWazee/">Ngome ya Wazee</a> Taifa, Ndugu Ally Mtumweni amefanya mazungumzo na Uongozi wa Ngome Jimbo la Tanga Mjini. Kikao hichi kina madhumuni ya kuwandaa wazee wa chama kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba.

Iso kongwe haivushi.
Oktoba #LindaKura 
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Operesheni Majimaji Jimbo la Temeke Ni nchi nzima! Majimbo yote kufikiwa iwe kwa mikutano ya hadhara ama kwa vikao vya ndani. Madhumuni ni kuwandaa viongozi na wanachama wetu kuelekea uchaguzi mkuu. Shekhe Ponda na Ruqayya Mahmoud Nassir leo walikuwa TEMEKE Oktoba #LindaKura

Operesheni Majimaji Jimbo la Temeke

Ni nchi nzima! Majimbo yote kufikiwa iwe kwa mikutano ya hadhara ama kwa vikao vya ndani. Madhumuni ni kuwandaa viongozi na wanachama wetu kuelekea uchaguzi mkuu.

Shekhe Ponda na <a href="/RuqayyaNassir/">Ruqayya Mahmoud Nassir</a> leo walikuwa TEMEKE

Oktoba #LindaKura
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Shinyanga imekuwa Zambarau. Na nikawaomba viongozi wangu, tutambe na zambarau kwenye barabara za Kata ya Ngokolo zilipo ofisi mpya za kisasa za ACTWazalendo #TheFutureIspurple 🔥 #MuhuniHasusiwi ✊🏾

Shinyanga imekuwa  Zambarau.

Na nikawaomba viongozi wangu, tutambe na zambarau  kwenye barabara za Kata ya Ngokolo zilipo ofisi mpya za kisasa za <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 

#TheFutureIspurple 🔥
#MuhuniHasusiwi ✊🏾
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Kulikuwa na kikao cha ndani baina ya KC Dorothy Semu na viongozi wa kata zote za Jimbo la Shinyanga Mjini. Watia nia pia walikuwepo. Hii ni Operesheni Majimaji yenye madhumuni ya kuwandaa viongozi na wanachama kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Kulikuwa na kikao cha ndani baina ya KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> na viongozi wa kata zote za Jimbo la Shinyanga Mjini. Watia nia pia walikuwepo.

Hii ni Operesheni Majimaji yenye madhumuni ya kuwandaa viongozi na wanachama kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
Mwanaisha Mndeme (@mwanaishamndeme) 's Twitter Profile Photo

Hii ndio ACT Wazalendo🔥🔥🔥 Shinyanga ya Zambarau NTOBI Halafu Baba Levo anauliza ACT tutapigiwa kura na nani😂😂?kweli😃 Oktoba #LindaKura

Hii ndio ACT Wazalendo🔥🔥🔥
Shinyanga ya Zambarau

<a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> Halafu Baba Levo anauliza  ACT tutapigiwa kura na nani😂😂?kweli😃

Oktoba #LindaKura
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

UZI Matukio na picha za Operesheni Majimaji Jimbo la Mbarali. Leo Julai 6, 2025 Msafara KC wa Zamani Zitto MwamiRuyagwa Kabwe uko Mbarali Mkoani Mbeya. Fuatilia katika comments: matukio, picha, video, hotuba na nk Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

UZI

Matukio na picha za Operesheni Majimaji Jimbo la Mbarali.

Leo Julai 6, 2025 Msafara KC wa Zamani <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> uko Mbarali Mkoani Mbeya. Fuatilia katika comments: matukio, picha, video, hotuba na nk

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

KC wa Zamani Zitto MwamiRuyagwa Kabwe akizungumza kwenye kikao cha ndani na viongozi wa Jimbo la Mbarali. Hii ni Operesheni Majimaji inayolenga kuhamasisha wananchi kulinda kura katika uchaguzi wa mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

KC wa Zamani <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> akizungumza kwenye kikao cha ndani na viongozi wa Jimbo la Mbarali. Hii ni Operesheni Majimaji inayolenga kuhamasisha wananchi kulinda kura katika uchaguzi wa mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Oktoba #LindaKura 
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Mwanaisha Mndeme (@mwanaishamndeme) 's Twitter Profile Photo

KC wa Zamani Zitto MwamiRuyagwa Kabwe akizungumza kwenye kikao cha ndani na viongozi wa Jimbo la Mbarali. Hii ni Operesheni Majimaji inayolenga kuhamasisha wananchi kulinda kura katika uchaguzi wa mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

KC wa Zamani <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> akizungumza kwenye kikao cha ndani na viongozi wa Jimbo la Mbarali. Hii ni Operesheni Majimaji inayolenga kuhamasisha wananchi kulinda kura katika uchaguzi wa mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Oktoba #LindaKura 
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Waziri Kivuli wa Fedha ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Kigoma, Ndugu Kiza Mayeye. akizungumza na viongozi wa kata zote za Jimbo la Mbarali. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

<a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> Waziri Kivuli wa Fedha ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Kigoma, Ndugu <a href="/kizamayeye_/">Kiza Mayeye.</a> akizungumza na  viongozi wa kata zote za Jimbo la Mbarali.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi 
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Selemani Misango Waziri Kivuli wa Fedha ambaye pia Mwenyekiti wa ACTWazalendo Mkoa wa Kigoma, Ndugu Kiza Mayeye. amezungumza kwenye kikao cha ndani kilichofanyika katika Jimbo la Songea. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

<a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> <a href="/SelemaniMisango/">Selemani Misango</a> Waziri Kivuli wa Fedha ambaye pia Mwenyekiti wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Mkoa wa Kigoma, Ndugu <a href="/kizamayeye_/">Kiza Mayeye.</a> amezungumza kwenye kikao cha ndani kilichofanyika katika Jimbo la Songea.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi