onyancha (@mtwakijr) 's Twitter Profile
onyancha

@mtwakijr

Basics

ID: 1820773143801475073

calendar_today06-08-2024 10:45:33

1,1K Tweet

876 Followers

553 Following

FreeLissu (@jizzlewantandu) 's Twitter Profile Photo

Kindly Repost PETROL STATION FOR SALE CLEANED TITLE DEED โœ”๏ธ PLOT SIZE 4000SQM AVAILABLE IN KIGAMBONI PRICE 2BN TZS NEGOTIABLE CALL/WTSP: 0768832035 NB: Ujazo na mengineyo utayapata kwenye tukio karibu uchukue Ofisi wanakigamboni wapate huduma

Kindly Repost 
PETROL STATION FOR SALE 

CLEANED TITLE DEED โœ”๏ธ
PLOT SIZE 4000SQM 
AVAILABLE IN KIGAMBONI 
PRICE 2BN TZS NEGOTIABLE 
CALL/WTSP: 0768832035
NB: Ujazo na mengineyo utayapata kwenye tukio karibu uchukue Ofisi wanakigamboni wapate huduma
Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Viongozi na wanachama wa CDM ambao wanania ya kuwania Ubunge 2025 ili waweze kushinda kirahisi wanahitaji sana kuombewa kura na TAL na sio mtu mwingine? TAL ni Simba Kweli Kweli !!!

Baba Mwita (@babamwita) 's Twitter Profile Photo

Niweke wazi pasipo kupepesa macho. Sipendi UNAFIKI. Ninamsapoti Adv. TUNDU A. LISSU kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Lissu ni kiongozi wa mfano & watu wa aina yake hutokea kwa nadra sana. Niwasihi sana wapigakura, msifanye SIASA kwenye hili. Lissu ndiye mtu anafaa kwa sasa.

Niweke wazi pasipo kupepesa macho. Sipendi UNAFIKI. Ninamsapoti Adv. TUNDU A. LISSU kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Lissu ni kiongozi wa mfano & watu wa aina yake hutokea kwa nadra sana. Niwasihi sana wapigakura, msifanye SIASA kwenye hili. Lissu ndiye mtu anafaa kwa sasa.
onyancha (@mtwakijr) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ’ธ๐Ÿ’ธ๐Ÿ’ธ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฐ Mshahara wako ukiingia kwa muda muafaka unaanza kula kuku. Kadri mshahara unavyopungua unaanza kula mazao ya kuku yaani mayai. Kadri unavyopungua zaidi unaanza kula chakula vya kuku Kama mahindi na mtama๐Ÿคฃ.

onyancha (@mtwakijr) 's Twitter Profile Photo

Moja Kati Ya Nyimbo Iliyomuingizia Pesa Nyingi Sana Ni Ile Nyimbo Ya Salima Aliyoimba Na Diamond Mshikaji Alipiga sana Pesa Kwenye ile Collabo Baada Ya Hapo Jamaa Akawa Mtu Wa Bata Sana Na Mziki Ni Kama Ameacha Kuimba.

Moja Kati Ya Nyimbo Iliyomuingizia Pesa Nyingi Sana Ni Ile Nyimbo Ya Salima Aliyoimba Na Diamond Mshikaji Alipiga sana Pesa Kwenye ile Collabo Baada Ya Hapo Jamaa Akawa Mtu Wa Bata Sana Na Mziki Ni Kama Ameacha Kuimba.
onyancha (@mtwakijr) 's Twitter Profile Photo

Wanasema ni nadra sana๐Ÿ˜ kuiona chuma kama hii ikijaza mafuta kwenye vituo vya mafuta. Kuna ukweli wowote?๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Zingatia number plate!

Wanasema ni nadra sana๐Ÿ˜ kuiona chuma kama hii ikijaza mafuta kwenye vituo vya mafuta. Kuna ukweli wowote?๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Zingatia number plate!
Akoko...bandraa (@vinkensmart) 's Twitter Profile Photo

Mohammed Dewji MO Habar mkuu mm nikijan najihusisha n ufugaji wa nguruwe toka 2020 mpaka sas nimewaza kujisimamia nakufanya kaz vzr shida n upande wa ujenzi wa mabanda ndio changamoto sana n visima kwa ajili y mifugo yang nawasilisha 0767397063