Leopold Ndumbaro (@mrndumbarojl) 's Twitter Profile
Leopold Ndumbaro

@mrndumbarojl

Entrepreneur | Expert in Import & Export Facilitation | Director, TradeSafe Intelligence Unit (TSIU) | Driving Strategic Global Trade with Data-Driven Insights

ID: 1415751071419486210

calendar_today15-07-2021 19:12:25

221 Tweet

229 Takipçi

133 Takip Edilen

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Huyu ni DIONIZ KIPANYA Kosa lake ni kurekodi hii video ya msafara wa Rais Samia Suluhu na kushare mitandaon Jeshi la Polisi Rukwa walimuita kwa ajili ya mahojiano ila tangu wakat huo mpaka leo ni miez 5 imepita hatujui walimpeleka wapi. Hatujui kama yupo hai au alishauwawa

Jack upepo (@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

NATO YAJIANDAA KWA VITA NA URUSI NATO inafikiria kuzindua mashambulizi ya kujikinga dhidi ya Urusi, na kujiandaa kwa "hali ya vita". Bauer. Huu mwaka uishe salama tunaisee vibweka ni vingi sana #BilaGanzi

NATO YAJIANDAA KWA VITA NA URUSI

NATO inafikiria kuzindua mashambulizi ya kujikinga dhidi ya Urusi, na kujiandaa kwa "hali ya vita".
Bauer.
Huu mwaka uishe salama tunaisee vibweka ni vingi sana
#BilaGanzi
Unite (@ifafricaunite) 's Twitter Profile Photo

Unajua kuwa Afrika Magharibi, hasa Ghana na Côte d’Ivoire, wanazalisha zaidi ya 66% ya cocoa duniani. Lakini cha kusikitisha ni kwamba wanapata 6% tu ya mapato ya sekta ya chocolate yenye thamani ya dola bilioni 100. Kwa miaka mingi, cocoa ilikuwa kama malighafi kwenda Ulaya

Unajua kuwa Afrika Magharibi, hasa Ghana na Côte d’Ivoire, wanazalisha zaidi ya 66% ya cocoa duniani. 

Lakini cha kusikitisha ni kwamba wanapata 6% tu ya mapato ya sekta ya chocolate yenye thamani ya dola bilioni 100. 

Kwa miaka mingi, cocoa ilikuwa kama malighafi kwenda Ulaya
SimbaScot (@simbascot) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Kama Dunia ingekuwa ni yenye kudumu na wakazi wake, Basi angekuwa hai Mtume (s.a.w) wa Mwenyezi Mungu, Na mwenye kubakia (milele). Lakini hii (Dunia) itafikia mwisho, pamoja na starehe zake. Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un

Waziri Wa Fedha Zangu (@twaysultan) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Hakika kifo ni fumbo. Na wote tutarejea kwake. Lakini kila nikitafakari maneno ambayo hua yanawatoka napata huzuni sana. Imagine huyu alikua katibu mkuu wa CCM aliongea haya kumdhihaki hayati JPM. kanakwamba yeye atabaki milele. Anyway hii iwafikie wote wanaoketi mahali pa juu.

<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> Hakika kifo ni fumbo. Na wote tutarejea kwake. 
Lakini kila nikitafakari maneno ambayo hua yanawatoka napata huzuni sana. Imagine huyu alikua katibu mkuu wa CCM aliongea haya kumdhihaki hayati JPM. kanakwamba yeye atabaki milele. 
Anyway hii iwafikie wote wanaoketi mahali pa juu.
Freddie (@frediejustine) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Taarifa ya spika imetuarifu kifo bila sababu za kifo hii inaacha maswali mengi kwa wankigamboni, watanzania, Africa pamoja na Familia Tuna haki ya kupata taarifa sahihi kwa wakati ili kuepuka uzushi na hisia tofauti mkizingatia Ndugulile ni mali ya umma Au nakosea mama?

JAX (@joshuamsuya_) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Tuendelee kukumbuka umauti daima upo mbele yetu, Tukumbuke kuishi na watu vizuri, tuwekeze mazuri katika maisha ya familia zetu, jamii yetu na taifa kwa ujumla, ili tuweze kumbukwa kwa machache mazuri. Hili litukumbushe siku moja hatuta waona wale tunaowapenda Ugovi, uadui,

MAKITABA🔛 (@makitaba11) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu tunakumbusha kila mtu ataonja mauti na neno la mungu halitopita mpaka yote yatimie, tujifunze madaraka na mamlaka tuliyonayo ipo siku hayatakuwa na maana, tutende mema kama neno lake lisemavyo maana mtu atavuna yale apandayo. neno la mungu lihimidiwe amen

THE ANCESTOR (@welldonetruth) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Juzi Mafuru kafia India. Leo Faustine Kafia India. Hamsemi viongozi wakiwa wanaumwa angalua ata tuwaombee. Nyie ni kutangaza misiba tu. Kwa Hayati. Magufuli ilikuwa ivi ivi. Sijui huu utamaduni unawasaidia nini. Pia muimarishe health care systems za ndani watu watubiwe ndani.

Bubelwa Kaiza (@bubelwakaiza) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Buriani Dr. Ndugulile & Lawrence Mafuru. Kwa namna vifo vya ndugu hawa wawili vilivyotokea, I suspect something fishy/sinister therein!

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

Ukimpata Mwanamke Sahihi Fanya Nae Maisha Usimchezee! Unajua Kwanini? Ukimpata Mwanaume Sahihi Fanya Nae Maisha Usimchezee! Unajua Kwanini? Maisha Hayakupi Mtu Sahihi Mara Mbili

Ukimpata Mwanamke Sahihi Fanya Nae Maisha Usimchezee! Unajua Kwanini?

Ukimpata Mwanaume Sahihi Fanya Nae Maisha Usimchezee! Unajua Kwanini?

Maisha Hayakupi Mtu Sahihi Mara Mbili
Unite (@ifafricaunite) 's Twitter Profile Photo

Just to keep you updated China imegundua mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu duniani wenye tani 1,000 za akiba, yenye thamani ya dola bilioni 83. Tukumbuke kwamba China inazalisha 60% ya rare minerals duniani na inaprocess 90% ya madini haya yanayotoka ulimwenguni.

Just to keep you updated

China imegundua mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu duniani wenye tani 1,000 za akiba, yenye thamani ya dola bilioni 83. 

Tukumbuke kwamba China inazalisha 60% ya rare minerals duniani na inaprocess 90% ya madini haya yanayotoka ulimwenguni.