mo_elbarky (@mo_elbarky10) 's Twitter Profile
mo_elbarky

@mo_elbarky10

ID: 1900687597745434626

calendar_today14-03-2025 23:17:07

7 Tweet

3 Followers

133 Following

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Ni maandamano ya wananchi. Kuhusu madai ya wananchi. Yanaripotiwa na wananchi. Ambao ndiyo wenye nchi. Wanataka heshma ya kura ya mwananchi. Na kukomeshwa utekaji na mauaji ya wananchi. Yatahitimishwa kwa kuwasikiliza wananchi. BRING ON! #MO29

Militant Tracker ๐Ÿ‡ถ๐Ÿ‡ฆ (@militanttracker) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Sudan โ€“ Al Fasher Falls: A father, his shirt drenched in blood, records a final message to his son as RSF fighters storm the city. A voice fading โ€” a nation bleeding.

Juma G ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช (@jumaf3) 's Twitter Profile Photo

Dear President William Samoei Ruto, PhD, please talk to your best friend, the head of RSF in Sudan... What he is doing is not right... Please. You have his number. History will judge you.

Sudan News (@sudan_tweet) 's Twitter Profile Photo

#Sudan | A video shows mercenaries from South Sudan celebrating alongside members of the Janjaweed #RSF militia in the center of #ElFasher, after seizing the city and committing horrific massacres against its civilian population. #SouthSudan

๐‰๐š๐ฌ๐ฎ๐ฌ๐ข (@chahali) 's Twitter Profile Photo

.Chama Cha Mapinduzi iliyoua Wazanzibari 2001 imerudia tena kufanya mauaji miaka 24 baadaye kwa kuchinja maelfu ya Watanganyika. CCM ni chama cha kigaidi. #Jasusi anashauri 1. Watengwe kuanzia ngazi ya mtaa 2. Sala/Dua mfululizo dhidi yao 3. Kuwaendea kwa Babu (where possible)

Larry Madowo (@larrymadowo) 's Twitter Profile Photo

EXCLUSIVE: Our CNN investigation found that Tanzanian police killed protesters, and signs of mass graves used to hide their brutality. We spoke to more than 100 people, used forensic analysis of videos, and satellite imagery. The govt didn't respond to our detailed questions

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Ripoti ya CNN imethibitisha kwa ushahidi uliosheheni POLISI WAKIUA WATU. Ripoti ya CNN kupitia Satelite imeonyesha maeneo ambayo yanazaniwa kuwa kutakuwa na makaburi ya HARAIKI ya ndugu zetu. Ripoti ya CNN imesema maelfu ya WATANZANIA wameuliwa nchi ikiwa GIZANI. Kiufupi

Ripoti ya CNN imethibitisha kwa ushahidi uliosheheni POLISI WAKIUA WATU.

Ripoti ya CNN kupitia Satelite imeonyesha maeneo ambayo yanazaniwa kuwa kutakuwa na makaburi ya HARAIKI ya ndugu zetu.

Ripoti ya CNN imesema maelfu ya WATANZANIA wameuliwa nchi ikiwa GIZANI.

Kiufupi
MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

"Kushinda uchaguzi si jambo kubwa sana, kutawala nchi ambayo imemeguka-meguka kwa sababu ya makovu ya uchaguzi ndio jambo kubwa zaidi"- Bishop Josephat Gwajima PhD ๐Ÿ“ŒHakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake. #Amos3:7

Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

SERIKALI HARAMU IMEVUKA MIPAKA: GHARAMA ZA HIV HAZIPASWI KUBEBESHWA KWENYE USHURU WA MAGARI Ni jambo la kusikitisha na la kukera kuona selikali ikiamua kuhamishia gharama za huduma za HIV kwa wananchi kupitia ushuru wa magari. Huu ni uamuzi usio na huruma na unaoonyesha wazi

SERIKALI HARAMU IMEVUKA MIPAKA: GHARAMA ZA HIV HAZIPASWI KUBEBESHWA KWENYE USHURU WA MAGARI

Ni jambo la kusikitisha na la kukera kuona selikali ikiamua kuhamishia gharama za huduma za HIV kwa wananchi kupitia ushuru wa magari. Huu ni uamuzi usio na huruma na unaoonyesha wazi
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 198 Anaingia jamaa mmoja mrefu, kavaa kaundasuti nyeusi anakitambi ila sio mnene wala mwembamba anaingia hapa. Jaji anauliza Shahidi unaitwa nani? H937 Detective Vincent 36 umri, Mkristo, Anapewa biblia kwa ajili ya kuapa anasema atasema

๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Kwa Nini Iran Inasimama Peke Yake Dhidi ya Israel na Marekani Wakati Nchi Nyingine za Kiislamu Zinajiunga na USA: Kabla ya 1979, Iran chini ya Mohammad Reza Pahlavi ilikuwa mshirika wa karibu wa Marekani na ilikuwa na uhusiano wa kimya na Israel. Kila kitu

#TajiriLaKihaya 

Kwa Nini Iran Inasimama Peke Yake Dhidi ya Israel na Marekani Wakati Nchi Nyingine za Kiislamu Zinajiunga na USA:

Kabla ya 1979, Iran chini ya Mohammad Reza Pahlavi ilikuwa mshirika wa karibu wa Marekani na ilikuwa na uhusiano wa kimya na Israel.

Kila kitu
๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Binafsi sitarajiiโ€ฆ. โ€˜MWANAHARAKATIโ€™ yeyote Kuipinga USAโ€ฆ NGOs za MAREKANI ndio wafadhili wakubwa wa WANAHARAKATI duniani koteโ€ฆ Ukitype Negative about USA unaweza jipata Umenyimwa VISA๐Ÿ˜… Lakini hio isiwafanye mkajiona nyie ni bora kuzidi wengineโ€ฆ