Felsian Michael (@michaelfelsian) 's Twitter Profile
Felsian Michael

@michaelfelsian

Mwanaharakati mpenda Haki, muumini wa SHERIA & DEMOKRASIA
Mentor Fabrication Engineer

ID: 1418922009870876679

calendar_today24-07-2021 13:12:50

835 Tweet

119 Takipçi

735 Takip Edilen

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Anaandika Mhe. John Pambalu Jana nimetoka kumuona Mhe. Tundu Antiphas Lissu Gerezani. Anaendelea vizuri japo goti lake linamsumbua sana, "Jana nililazimika kutumia magongo, lakini ninaendelea vizuri", alitueleza Mhe. Lissu. Amesisitiza kuwa, Gereza ndiyo njia ambayo wapigania haki

Anaandika Mhe. <a href="/John_Pambalu/">John Pambalu</a> 

Jana nimetoka kumuona Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> Gerezani. Anaendelea vizuri japo goti lake linamsumbua sana, "Jana nililazimika kutumia magongo, lakini ninaendelea vizuri", alitueleza Mhe. Lissu. Amesisitiza kuwa, Gereza ndiyo njia ambayo wapigania haki
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Naamini huu ujumbe ni wa kwako Abduli 🙄 Ingawa inawezekana pia mmepigwa upofu mtakatifu kama wa Farao Nakuelewesha Abduli: we huna cheo katika serikali wala huwezi kudai ulikuwa unateka na kuua kwa sababu unalinda nchi! Kuwa mtoto wa kiongozi haikupi haki wala ulinzi wowote wa

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Mliokaribu na Jaji Mutungi, Siti Nyahoza, Na yule Shoga ambae Mutungi kampangia nyumba pale Masaki wafikishieni hii video wasije wakasema hawakuona.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

LEO SAA 3 USIKU NDUGU POLEPOLE ATAONGEA NA WATANZANIA. Sikiliza kwa makini mambo ambayo ataenda kuyazungumzia. Hakika hii sio ya kukosa. Jana Kikwete alimjibu Polepole kwenye mkutano wa uzinduzi wa Kampeni. Leo polepole atajibu hoja zake USIPANGE KUKOSA REPOST TUTAKUWEPO🫵😎

Vitus Nkuna (@vitusnkuna) 's Twitter Profile Photo

Kama ni CHAMA cha Siasa basi CHADEMA ni namba 1. Kama ni Chama cha Upinzani halisi na kinasikiliza watu na kutenda vile watu wanataka (PeoplesPower) ni CHADEMA. Watanzania wa kila namna tuiamini,kuishauri na kuisaidia CHADEMA hapa ndio tumaini pekee limebaki.🙏🙏🙏

Kama ni CHAMA cha Siasa basi CHADEMA ni namba 1.
Kama ni Chama cha Upinzani halisi  na kinasikiliza watu na kutenda vile watu wanataka (PeoplesPower) ni CHADEMA.
Watanzania wa kila namna tuiamini,kuishauri na kuisaidia CHADEMA hapa ndio tumaini pekee limebaki.🙏🙏🙏
Thadei Mhabuka (@mhabukat) 's Twitter Profile Photo

Sahihi kabisa hata mimi naunga mkono kwa asilimia 100+ chadema kukataa kushiriki wanao uita uchaguzi bila reform ikiwa wao kwa wao wanafanyiana vile je wangekuwepo chadema ndio tungeona watu kutekwa kupotezwa na wafuasi wa chadema wangeongezeka kutekwa.