
Tumaini Makene
@mccaintumaini
Communications Strategies and Media Expert. Man of Letters. Concerned and active citizen. Liverpudlian! Views are my own. Retweets aren’t endorsements.
ID: 816930275049480192
05-01-2017 08:52:10
10,10K Tweet
50,50K Takipçi
6,6K Takip Edilen



Simamia hapo hapo Chief Salim Kikeke. Songa mbele kaka. Hizi kelele za foreign funded political agente provocateurs na commercial activists, zinajulikana sasa. Haziwezi kumsumbua mtu yeyote anayejielewa! #KaziNaUtuTunasongaMbele #OktobaTunatiki #TanzaniaVotesOctober


Here we go 🇹🇿 #KaziNaUtuTunasongaMbele #OktobaTunatiki #TanzaniaVotesOctober Samia Suluhu


🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 Piga kazi zako Kaka, Achana na Siasa ambayo watu wengi wanacheza karata za Maslahi humo, Dini yenyewe ambayo iko strict Haswa na Masuala ya namna ya ku interact, haikuwahi kuzuia Kuwauzia Wasiokuwa Sisi sembuse Siasa?

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 Hizi chuki na kutwezana utu dhidi ya mtu na mtu hazifai. Hata kama tumetofautiana kiitikadi hatupaswi kutumia matusi wala kuwa na kampeni za kuchukiana. hata viongozi wakubwa wa vyama hivi ni marafiki wakubwa tu.




Patrick Ole Sosopi Namna ya kufanya ni kutafuta mazungumzo na aliyewashtaki na muondoe kesi la sivyo mtakuwa mnataka kuvunja sheria ama kwenda kinyume na Conservatory Order za mahakama






