BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile
BABA ALICE

@mbowedevid65681

visit Kilimanjaro 🇹🇿|Biashara| Galatia Auto spare..🛺 &🏍️

ID: 1796629412147814400

calendar_today31-05-2024 19:47:40

194 Tweet

18 Followers

264 Following

BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

USIKUBALI KUWA MTU WA "BEI RAHISI RAHISI, Thamani yako inazidi dhahabu na almasi - kama UTAJITAMBUA. Kama hautajitambua hata CHANGARAWE kitakuwa na thamani mbele za watu kuliko wewe

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Kuongoza Chama cha Siasa cha upinzani kinachojiandaa kushika dola tena Afrika, ni tofauti kabisa na kugombea urais wa nchi kwa Afrika, Mnahitaji shule kubwa sana kujua hili jambo…. Kugombea Urais wa nchi wa nchi ni tukio la muda lenye bahati na sibu tu, hivyo kumpata mgombea

BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

Akuna Cha shule Wala nini..nimajira mapya Sasa chadema kwa Sasa inamuitaji Lisu maana tumechoka kulialia..ccm ilipo fikia kupambana nayo atuitaji mtu WA aina ya mbowe tena..Busara sasaivi ikae pembeni ✌️✌️

BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

Pi ni sarafu mpya ya digital iliyoandaliwa na Stanford PhDs, na ina wanachama zaidi ya milioni 55 duniani kote. Ili kudai Pi yako, fuata kiungo hiki minepi.com/mpole55 na utumie jina langu la mtumiaji (mpole55) kama msimbo wako wa mwaliko.

BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

Hajamaliza Siku 100 tangu achaguliwe kuwa kiongozi wa Chadema (Siku 79 tu). Ana siku 19 tu tangu azindue Operation ya #NoReformsNoElection. Serikali ya Ccm imeshindwa kuhimili kasi ya Tundu Antiphas Lissu wamemkamata na tuna taarifa wanataka kumfungulia kesi mbaya isiyo na dhamana.

Hajamaliza Siku 100 tangu achaguliwe kuwa kiongozi wa Chadema (Siku 79 tu). 
Ana siku 19 tu tangu azindue Operation ya #NoReformsNoElection. 
Serikali ya Ccm imeshindwa kuhimili kasi ya <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> wamemkamata na tuna taarifa wanataka kumfungulia kesi mbaya isiyo na dhamana.
BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

Siku 19 tu za Tundu CCM tayari wameloa chepechepe nyanganyanga.. Wanashindwa kujibu hoja sasa wameamua kutumia Dola🤣🤣CCM ni wepesi Sana aide🤣🤣#NoReformsNoElection

Siku 19 tu za Tundu CCM tayari wameloa chepechepe nyanganyanga.. Wanashindwa kujibu hoja sasa wameamua kutumia Dola🤣🤣CCM ni wepesi Sana aide🤣🤣#NoReformsNoElection
BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. M/Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mhe. John Heche, atazungumza na vyombo vya habari leo saa 5 asubuhi mjini Songea katika Ofisi za Chama zilizopo eneo la Mfaranyaki. Katika mkutano huo, atatoa maelezo kuhusu kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa..

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

M/Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a>, atazungumza na vyombo vya habari leo saa 5 asubuhi mjini Songea katika Ofisi za Chama zilizopo eneo la Mfaranyaki. Katika mkutano huo, atatoa maelezo kuhusu kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa..
BABA ALICE (@mbowedevid65681) 's Twitter Profile Photo

"Njia Pekee ya kulinda kura yako ni kukaa nayo mwenyewe, ukiiweka tu kwenye Box ushaliwa tayari" Askofu Bagonza hapa anamanisha nini??

"Njia Pekee ya kulinda kura yako ni kukaa nayo mwenyewe, ukiiweka tu kwenye Box ushaliwa tayari"

Askofu Bagonza hapa anamanisha nini??