Wanawake wengi siku hizi hawajiamini,
wanajiona hawastahili heshima kwa mwanaume
Ukionyesha kuwajali sana wanaanza kuona hauna chaguo jingine au unakataliwa uko nje
Ndio maana wengi wanavutiwa zaidi na wanaume wanaowapuuza au kuwatendea vibaya
Kaka, Usiwe mpole kupita kiasi.