Denis Makwale (@makwale_denis) 's Twitter Profile
Denis Makwale

@makwale_denis

Lets Love Lead

ID: 1375337062539354113

calendar_today26-03-2021 06:41:55

199 Tweet

401 Takipรงi

499 Takip Edilen

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

Barua ya Wazi Kwa WAJASIRIAMALI wa Kitanzania Wanaofanya Biashara Mtandaoni! Ndugu Mjasiriamali Ndani ya Sekunde 60 zijazo nitaenda Kukwambia UKWELI Mchungu kuhusu Soko la Mtandaoni ambao natamani ningeambiwa Miaka 7 iliyopita ๐Ÿ‘‡

millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mtaalamu wa Radio aweka mezani hesabu za mtaji wa kuanzisha Redio โ€œvifaa tu vya studio zinaweza kukutoka milioni zaidi ya 270 kama unazingatia viwangoโ€ interview nzima ipo hapa โ€”โ€”โ€”> youtu.be/Hon54ZH2wuE?siโ€ฆ

Mtaalamu wa Radio aweka mezani hesabu za mtaji wa kuanzisha Redio โ€œvifaa tu vya studio zinaweza kukutoka milioni zaidi ya 270 kama unazingatia viwangoโ€ interview nzima ipo hapa โ€”โ€”โ€”> youtu.be/Hon54ZH2wuE?siโ€ฆ
Presenter Noah (@presenternoah) 's Twitter Profile Photo

Chukua Ngoma hizi 10, kama Unapenda kusikiliza Gospel musicโ€ฆ 1. Mungu ni Mmoja - Bella Kombo 2. Kila Ulimi - AIC Changโ€™ombe 3. Jina Lako litukuzwe - Essence of Worship 4. Nikiwa nawe - Dr Ipyana 5. Kwa Neema - VVC Tanzania 6. Tunatabiri- Neema Gospel 7. Medley - The Healing

Necto Kitiga (@nectokitiga) 's Twitter Profile Photo

Kwenye hotuba yake leo Singida, Mh. Lissu amesema alimrudisha Abdul na mabegi yake ya Rushwa akamwambia kawahonge unaoweza kuwahonga. โ€œAbduli aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi" kahonge hao wanaohongeka.โ€ Tundu Antiphas Lissu

Paul_Makubi (@makubi_pol) 's Twitter Profile Photo

UKIFANYA HIVI UTAANZISHA BIASHARA YOYOTE DUNIANI. PDF ina inapages 13 za moto ๐Ÿ”ฅ Utaipata sasa hivi hakikisha umenifollow Niweze ingia inbox kwako ๐Ÿ“Œ Repost alafu comment "TAYARI" Nakutumia ndani ya Sekunde moja #wekezanami

UKIFANYA HIVI UTAANZISHA BIASHARA YOYOTE DUNIANI.

 PDF ina inapages 13 za moto ๐Ÿ”ฅ

Utaipata sasa hivi hakikisha 
umenifollow
Niweze ingia inbox kwako ๐Ÿ“Œ

Repost alafu comment  "TAYARI"

Nakutumia ndani ya Sekunde moja

#wekezanami
GRINGO018๐ŸŽจ๐Ÿ–Œ๏ธ (@018salama) 's Twitter Profile Photo

MBINU ZA KISAIKOLOJIA ZA NAMNA YA KUISHI NAO. 1.Ukitaka mtu akusikilize au achukulia umuhimu, Anza maongezi kwa kumwambia, "SIKUTAKIWA KUKUAMBIA KUHUSU HILI." Watu wengi wanapenda kuambiwa vitu ambavyo hawakupaswa kuambiwa. 2.Ukiwa kwenye mabishano jitahidi utulie kwa kadili

LUSAJO (@sajo_mwaihabi) 's Twitter Profile Photo

Kuna kitu ambacho binafsi kilikuwa kikinisumbua hasa katika swala ya kuunda jina la kampuni. Nilikuwa sijui tofauti ya hizi company titles mf; Traders, Investment, Enterprise n.k Nilipojifunza, Nikagundua sio mimi tu nilikuwa sijui, ni wengi hawajui. Shuka na huu uzi jifunze

Seif Mselem (@seifjamal21) 's Twitter Profile Photo

โš ๏ธ[MPYA]: Kama Ningekuwa C.E.O wa Biashara ya AFRICAN BOY Basi Hiki Ndicho Ningekifanya ili Kujenga BRAND yenye Nguvu! UZI ๐Ÿ‘‡๐Ÿป 15 Min Read.

โš ๏ธ[MPYA]: Kama Ningekuwa C.E.O wa Biashara ya AFRICAN BOY Basi Hiki Ndicho Ningekifanya ili Kujenga BRAND yenye Nguvu!

UZI ๐Ÿ‘‡๐Ÿป 15 Min Read.
Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

YouTube ni Chuo kikuu Huria. Kuna mamilioni ya chaneli. Lakini 98% hawajui ma-Profesa waliobobea kutoka chuo hiki. Hizi hapa chaneli 10 zitakazoenda kubadili kabisa maisha yako:- ๐Ÿ‘‡

Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

Unaweza kuwa mtu mwovu kabisa usiye na chembe ya utu wowote ndani yako na bado ukawa mwema sana kwa mtu anayekukubali, anayetetea mawazo yako, rafiki aghalabu mtu mwenye maslahi na tabia zako. Ukiweza kuwa mwema kwa mtu usiye na maslahi naye, asiyekubaliana na wewe,