Ndugu Elisha (@kongwastone) 's Twitter Profile
Ndugu Elisha

@kongwastone

May the #Grace of the #Lord_Jesus be with Godโ€™s #holy people. #MARANATHA

ID: 867067554

linkhttp://www.facebook.com/Kongwastone calendar_today07-10-2012 22:46:46

11,11K Tweet

1,1K Takipรงi

4,4K Takip Edilen

millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Atakayenaswa mifuko ya plastiki faini Mil 20/-| JPM asema Serikali itaendelea kushirikiana na madhehebu ya dini| Kakobe amkingia kifua Askofu Gwajima| Baba mbaroni kwa tuhuma mauaji ya mtoto wake- HABARILEO......Magazeti yote yako hapa >>>millardayo.com/jmhs/

Atakayenaswa mifuko ya plastiki faini Mil 20/-| JPM asema Serikali itaendelea kushirikiana na madhehebu ya dini| Kakobe amkingia kifua Askofu Gwajima| Baba mbaroni kwa tuhuma mauaji ya mtoto wake- HABARILEO......Magazeti yote yako hapa >>>millardayo.com/jmhs/
Victoria C Mwanziva (@victoriacharlz) 's Twitter Profile Photo

Tovuti za Vitabu Mtandaoni; Online Book Websites ๐Ÿ“š๐Ÿ“š๐Ÿ“š bookboon.com ebookee.org sharebookfree.com m.freebooks.com obooko.com manybooks.net epubbud.com

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

Mtandao wa #WhatsApp umebaini kuwa kuna wadukuzi walifanikiwa kuingilia โ€˜WhatsApp Callโ€™ huku kampuni ya kijasusi toka Israel ikihisiwa kuhusika katika udukuzi huu > Watumiaji wa WhatsApp wanashauriwa ku-update app ili kubakia salama Soma kwa kina jamii.app/WhatsAppCallX #JFLeo

Mtandao wa #WhatsApp umebaini kuwa kuna wadukuzi walifanikiwa kuingilia โ€˜WhatsApp Callโ€™ huku kampuni ya kijasusi toka Israel ikihisiwa kuhusika katika udukuzi huu

> Watumiaji wa WhatsApp wanashauriwa ku-update app ili kubakia salama

Soma kwa kina jamii.app/WhatsAppCallX

#JFLeo
Khamis Suedi Kagasheki (@kkagasheki) 's Twitter Profile Photo

Kuna watu hawatafakari linalosemwa. Wanafuata ni nani kasema. โ€œYule anayefuata mkumbo hawezi kwenda zaidi ya mkumbo ule. Yule anayekwenda mwenyewe kawaida huvumbua maeneo ambayo wengine wengi hawajahi kufika.โ€ ~ Albert Einstein #IndependentThinking. #KSK_Balozi

Ndugu Elisha (@kongwastone) 's Twitter Profile Photo

#Imeandikwa tutafute kuishi kwa amani na watu wote. Work at living in peace with everyone, and work at living a holy life, for those who are not holy will not see the Lord. bible.com/bible/116/heb.โ€ฆ CC:Ushuhuda wa Injili Rev. Godwin Chilewa Rev. Kishoka Stephen Julius masele #ElimikaWikiendi

Franklin Graham (@franklin_graham) 's Twitter Profile Photo

Congratulations to Australian Prime Minister Not ScoMo on winning this election! PM Morrison is a believer and follower of Jesus Christโ€”and Australia is blessed to have him. I know heโ€™d appreciate your prayers. apple.news/AkaOHB3NlQPuDeโ€ฆ

Ndugu Elisha (@kongwastone) 's Twitter Profile Photo

But those who wait for the Lord Will gain new strength and renew their power;They will lift up their wings [and rise up close to God] like eagles [rising toward the sun];They will run and not become weary, They will walk and not grow tired bible.com/bible/1588/isaโ€ฆ #NewProfilePic

๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐‘พ๐’‚ ๐‘ฝ๐’Š๐’‹๐’‚๐’๐’‚ ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ|๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ (@kamigakikumbise) 's Twitter Profile Photo

Maisha ni Siku Tatu; 1. "Jana Tumeiishi Wala Haitorudi" 2. "Leo Tunaiishi Lakini Haitodumu" 3. "Kesho Tunaisubiri Lakini Hatujui tutakuwa Wapi". Hivyo Basi, hakuna haja ya chuki Ugomvi na mafarakano. Mpende,msamehe na mheshimu kila mtu. MAANA SISI SOTE NI WAPITAJI #BabaWaVijana

Ndugu Elisha (@kongwastone) 's Twitter Profile Photo

Mwongozo wa Mavazi kwa Watumishi wa Umma- MAVAZI YA MWANAMKE. Nampongeza mhe. Samia Suluhu kuwa mfano kwa watumishi wa umma katika kuzingatia mwongozo wa mavazi nk. Pia mhe.@umwalimu na baadhi ya wabunge wa Bunge la Tanzania ๐Ÿ‘ Bofya link kusoma mwongozo > utumishi.go.tz/index.php/en/pโ€ฆ

Mwongozo wa Mavazi kwa Watumishi wa Umma-
MAVAZI YA MWANAMKE.

Nampongeza mhe. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kuwa mfano kwa watumishi wa umma katika kuzingatia mwongozo wa mavazi nk.
Pia mhe.@umwalimu na baadhi ya wabunge wa <a href="/bunge_tz/">Bunge la Tanzania</a> ๐Ÿ‘

Bofya link kusoma mwongozo &gt; utumishi.go.tz/index.php/en/pโ€ฆ
MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

Happness Lenard: "Unatakiwa kuwa makini sana katika namna unavyojiunga na kuitumia kwenye simu au kompyuta yako,unapaswa kujilinda na kuwa na uwezo wa kusoma maelezo ya kila application yako ili kuifanya account yako kuwa salama" - bit.ly/30DTsM0

Happness Lenard: "Unatakiwa kuwa makini sana katika namna unavyojiunga na kuitumia kwenye simu au kompyuta yako,unapaswa kujilinda na kuwa na uwezo wa kusoma maelezo ya kila application yako ili kuifanya account yako kuwa salama" - bit.ly/30DTsM0
Billy Graham (@billygraham) 's Twitter Profile Photo

"Only the Holy Spirit can give us peace in the midst of the storms of restlessness and despair. We should not grieve our Guide by indulging in worry or paying undue attention to self." #BillyGraham