kissa_daniel (@kissadaniel2) 's Twitter Profile
kissa_daniel

@kissadaniel2

Journalist @eastafricatv

ID: 1370782766506336256

calendar_today13-03-2021 17:04:44

70 Tweet

852 Takipçi

642 Takip Edilen

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#VIDEO Mtangazaji wa #SupaBreakfast kissa_daniel ameeleza kuwa kazi yake ya kwanza kuifanya ikamuingizia kipato ilikuwa ni kuuza mitumba aliyokuwa anaifuata Ilala Boma na kuuza chuo Tuambie wewe kazi yako ya kwanza iliyokuingizia kipato ni ipi ? #EastAfricaRadio

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#VIDEO kissa_daniel amesema kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaotoa maneno machafu kwa Rais Samia Suluhu na kumuuliza Mwenyekiti wa UVCCM atoe ushauri kwa watoa lugha chafu hizo #SupaBreakfast #EastAfricaRadio

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#VIDEO Mwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida amesema kwamba hadhani kama sasa hivi Katiba Mpya inahitajika, na kwamba Katiba hiyo haiwezi kumfanya @ChademaTz akashinda #SupaBreakfast #EastAfricaRadio

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#VIDEO kissa_daniel amesema kwamba Rais wa Kenya William Ruto amejifunza kitu kutoka kwa Rais Samia Suluhu kwenye kuwapa watu uhuru wa kuzungumza na kwamba vijana wa Kenya wanaandamana na wanalindwa kitu kilekile ambacho alikifanya Rais Samia hapa nchini wakati upinzani

EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#SupaBreakfast: Dunia ina namna yake ya kufunza watu na maisha yanasimamia suala hilo, mpaka sasa tulipofika maisha yamekufundisha kitu gani? Kissa Daniel kissa_daniel anauliza.

#SupaBreakfast: Dunia ina namna yake ya kufunza watu na maisha yanasimamia suala hilo, mpaka sasa tulipofika maisha yamekufundisha kitu gani? Kissa Daniel <a href="/kissadaniel2/">kissa_daniel</a> anauliza.
kissa_daniel (@kissadaniel2) 's Twitter Profile Photo

Wakati ambao mataifa mengine yanapambana kuwa na amani kama Tanzania wengine wanaona maandamani, migomo na vurugu ni kitu cha kuiga tu 🙌🏽🙌🏽 Ni mtazamo wangu tu, Ruksa kila mtu atazame apendavyo.

kissa_daniel (@kissadaniel2) 's Twitter Profile Photo

Kwa mtazamo wangu naona hii tabia inakuwa kwa kasi mno!! watoto wanaamshwa mapema sana kwenda shule wengine hadi saa 10 alfajiri, masomo wanakuja kuanza saa 2 🙌🏽🙌🏽 ni mateso mno kwa watoto!!! Sijui wewe unatazama hili vipi?

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Hii ni ripoti ya dakika 3 ya kissa_daniel kueleza kwa kina kuhusu muendelezo wa vita inayoendelea nchi DRC na namna ambavyo serikali inatakiwa kuchukua hatua za haraka kuumaliza mgogoro huo kuepukana na unyanyasaji mkubwa wanaopitia wananchi Mashariki mwa DRC. #VitaDRC

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#VIDEO Wakuu wa nchi SADC na EAC tayari wamekaa kikao kutafuta suluhu ya vita vinavyoendelea nchini DRC, huku Rais wa Kenya ambaye ndiye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anasisitiza kuwa vita vile vitamalizwa kwa mazungumzo na si majeshi. #EastAfricaTV