アボット Kazimoto
@kazimotoinc
KazimotoINC | IT Technician | Husband & Dad | Baba Michelle | Perescope @Kazimotoinc | #ElimikaWikiendi |#Ajalisasabasi | #NeverMissaMoment
ID: 709811888
22-07-2012 00:31:21
109,109K Tweet
19,19K Takipçi
498 Takip Edilen
Tulikuwa na SC Mpale Mpoki tukapitia kanuni za maadili za uchaguzi tukagundua zinamapungufu makubwa sana ya kiutaratibu na kimantiki! Tumechukua hatua ya kwenda mahakamani ili tuone INEC imetunga kanuni za maadili kwa usahihi? Kumbusho Dawson Kagine na Bubelwa Kaiza ndio waleta maombi!
BWANA ni mtu wa vita, BWANA ndilo jina lake. #Kutoka15:3 Kinachoendelea sasa hivi Makao Makuu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Tanzania kwa Askofu Josephat Gwajima Bishop Josephat Gwajima PhD Mbunge wa Jimbo la Kawe. #StateVsChurch
VIDEO: Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema [ Godbless E.J. Lema ] ametoa utabiri wake baada ya kufutwa usajili wa kanisa la ufufuo na uzima linaloongozwa na askofu Josephat Gwajima. Aidha Lema amekosoa hatua zilizochukuliwa na mamlaka