Nod (@kabiganord) 's Twitter Profile
Nod

@kabiganord

Proffesional Mechanical Engineer/Technician/Teacher/Leader/Human Rights/ Free speech,

#GGMU
#YOUNGAFRICANS

ID: 1703904325

calendar_today27-08-2013 06:14:01

935 Tweet

203 Followers

198 Following

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Tumpe maua yake 💐 Let’s show appreciation to this Hero 👏🏽 🔥T U N D U L I S S U 🔥 He has completely changed the game today CCM is busy catching up - they have lost the narrative and control of the game Taifa linaimba wimbo moja tu #NoReformsNoElection ✊🏽 Mwamba huyu hapa

Tumpe maua yake 💐
Let’s show appreciation to this Hero 👏🏽
🔥T U N D U  L I S S U  🔥

He has completely changed the game today CCM is busy catching up - they have lost the narrative and control of the game

Taifa linaimba wimbo moja tu 
#NoReformsNoElection ✊🏽

Mwamba huyu hapa
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Dear Tundu Lissu & John Heche, thank you for the courage and hope you've brought to the fight for reforms in Tanzania. Your immediate impact is deeply felt. Aluta continua. #NoReformsNoElection #LissuSioMhaini

Dear Tundu Lissu & John Heche, thank you for the courage and hope you've brought to the fight for reforms in Tanzania. 

Your immediate impact is deeply felt.

Aluta continua.

#NoReformsNoElection #LissuSioMhaini
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Asanteni Tabora, Asanteni Watanzania. Msiogope tuko upande wa haki, tuko upande wa ukweli. Tutashinda vita zote hizo dhidi ya chama chetu na dhidi ya Watanzania. #NoReformsNoElection

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Asubuhi ya Leo nimemtembelea Mwenyekiti wa chama mhe Tundu Antiphas Lissu katika gereza la Ukonga. Yuko imara mwenye afya njema. Ameniambia kuna mabadiliko mengi katika treatment yake gerezani baada ya wasilisho lake mahakamani. Sasa anaruhusiwa kufanya mazoezi uwanjani. Sasa

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Pokeeni unabii 🔥 Next President of the United Republic of Tanzania Bi Kizimkazi leo atalala na viatu maana watu hawataki kusikia ujinga wake

Pokeeni unabii 🔥
Next President of the United Republic of Tanzania 
Bi Kizimkazi leo atalala na viatu maana watu hawataki kusikia ujinga wake
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Kila mtu anajua na rais anajua kwamba kesi ya Mh Lissu ni ya uongo na uoga wa kupambana nae kwenye majukwaa ya siasa. Rais Samia Suluhu tulipokuja Ikulu uliahidi kuleta Reforms, kuruhusu washindani wako wafanye siasa na sio siasa ya kukusifia na kukupamba. Uliahidi ustahimilivu

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Barua ya Lissu kwenda kwa Dr William Leo. Dr William habari, sitaweza kuandika mengi kwenye barua hii sababu sina karatasi za kutosha, ila kama ujumbe utafika naomba uwatumie na watanzania wote mimi nikiwa bado kwenye nondo za gereza. Siku ambayo nilisema nitasimama na taifa

Bishop Josephat Gwajima PhD (@jgwajima) 's Twitter Profile Photo

Hii ni mikutano miwili kati ya Mikutano zaidi ya 160 niliyozunguka nchi nzima kuhubiri injili na kuwajenga wananchi katika kuipenda nchi yao. #TanzaniaNiYetuSote #TanzaniaKwanza

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Mmezuia matangazo ya moja kwa moja ya kesi ya Lissu. Ila hamtazuia sisi kupata taarifa za mashahidi wenu wa siri. Wakae wakijua hakuna mahali wataenda umma usifahamu. Hii nchi ni yetu sote. Hatutakubali nia ovu dhidi ya Lissu zidumu sababu ya ulafi wenu wa madaraka. Tuheshimiane!

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

These two, Messrs SC Lissu & SC Dkt Nshala, are best buddies. Wamefanya harakati pamoja tangu 90s. Walianzisha Lawyers Environmental Action Team. Wakafanya kesi nyingi za mazingira. Na kudai haki za w/nchi & wachimbaji wadogo maeneo ya migodini. Ni role models. Respect the OGs✌️

These two, Messrs SC Lissu & SC Dkt Nshala, are best buddies. Wamefanya harakati pamoja tangu 90s. Walianzisha Lawyers Environmental Action Team. Wakafanya kesi nyingi za mazingira. Na kudai haki za w/nchi & wachimbaji wadogo maeneo ya migodini. Ni role models. Respect the OGs✌️
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 14 Anaendelea Mhe. Lissu Lissu ameulizwa je utakuwa na mashahidi wangapi? Mashahidi wangu watakuwa kama ifuatavyo 1. Samia Suluhu Hassan atakuwa ni shahidi wangu wa kwanza Hakimu anasema anasema kuna taarifa inasambazwa muda huu, anasema kuna

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Amekuwa jela kwa siku 118. Lakini amejiandaa kufundisha sheria. Na kuonesha akili ndogo za serikali. Na kwamba yeye si mhalifu. Leo Hakimu na Mawakili wa dola wanalala na viatu. Huyu ndiye mwalimu wetu, kaka yetu, ndugu yetu, mwenyekiti wetu, SC Tundu AM Lissu.

Amekuwa jela kwa siku 118. Lakini amejiandaa kufundisha sheria. Na kuonesha akili ndogo za serikali. Na kwamba yeye si mhalifu. Leo Hakimu na Mawakili wa dola wanalala na viatu. Huyu ndiye mwalimu wetu, kaka yetu, ndugu yetu, mwenyekiti wetu, SC Tundu AM Lissu.
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

*TAARIFA RASMI KWA WANACHAMA WA CHADEMA NA WATANZANIA KWA UJUMLA* Tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe *29 Oktoba 2025*, kwa mujibu wa kalenda ya Serikali na Tume ya Taifa ya Uchaguzi – uchaguzi ambao *Chama chetu, CHADEMA, hakitashiriki* kutokana na

Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

EDWIN MTEI: MJENZI WA NCHI, KIONGOZI WA MFANO Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe na wanafamilia wa marehemu Edwin Mtei, Viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu wananchi, waombolezaji, mabibi na mabwana; Nimepokea taarifa za kifo cha