Nod
@kabiganord
Proffesional Mechanical Engineer/Technician/Teacher/Leader/Human Rights/ Free speech,
#GGMU
#YOUNGAFRICANS
ID: 1703904325
27-08-2013 06:14:01
935 Tweet
203 Followers
198 Following
Asubuhi ya Leo nimemtembelea Mwenyekiti wa chama mhe Tundu Antiphas Lissu katika gereza la Ukonga. Yuko imara mwenye afya njema. Ameniambia kuna mabadiliko mengi katika treatment yake gerezani baada ya wasilisho lake mahakamani. Sasa anaruhusiwa kufanya mazoezi uwanjani. Sasa
Kila mtu anajua na rais anajua kwamba kesi ya Mh Lissu ni ya uongo na uoga wa kupambana nae kwenye majukwaa ya siasa. Rais Samia Suluhu tulipokuja Ikulu uliahidi kuleta Reforms, kuruhusu washindani wako wafanye siasa na sio siasa ya kukusifia na kukupamba. Uliahidi ustahimilivu