UBAYA UBWELA
@jeopardize001
an enterprising person determined to succeed:
Simba sc,ManUtd.die-hard fan.
Vitu vyangu ni biashara, siasa ,soka na Music🎵🎶
ID: 1543149370958381059
02-07-2022 08:27:57
14,14K Tweet
299 Followers
223 Following
Kwa nini Kanisa Katoliki linasema linawaombea marehemu WALIOUAWA WAKATI WA UCHAGUZI ? Ni habari inayokwepwa sana, ni kauli ambayo inaogopwa kusemwa katika kweli na uwazi. Askofu Lameck Msomba,OSA, wa Jimbo la Bagamoyo;ametoa ufafanuzi makini. Francis,Baraka Fundo,ArikooMarge
Kama huu wingi wa maiti kwenye mochwari moja tu pale Mwananyamala, hali ilikuwaje kwenye mochwari zote? Tunaona sasa sababu ya MTUKUFU Samia Suluhu aliagiza maiti zisombwe kwa siri zikatupwe? Tunaona sababu ya kufunga mitandao na onyo la kusambaza picha?