𓅓 𝕏 (@jampk14) 's Twitter Profile
𓅓 𝕏

@jampk14

ƈօʍʍɨȶ ʏօʊʀ աօʀӄ ȶօ ȶɦɛ ʟօʀɖ ǟռɖ ɦɛ աɨʟʟ ƈʀօառ ʏօʊʀ ɛʄʄօʀȶֆ աɨȶɦ ֆʊƈƈɛֆֆ.

ID: 2958870365

calendar_today03-01-2015 18:28:30

13,13K Tweet

3,3K Takipçi

2,2K Takip Edilen

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Kwa alichofanyiwa huyu dogo siku kiongozi yoyote wa CCM akikatisha kwenye mitaa ya OT aiseee nitalipiza kisasi na kuandika PE kama cause of DEATH. Nimepata uchungu sanaaaa kuanzia leo naanza kua Jasusi rasmi kudadeki.

Kwa alichofanyiwa huyu dogo siku kiongozi yoyote wa CCM akikatisha kwenye mitaa ya OT aiseee nitalipiza kisasi na kuandika PE kama cause of DEATH. Nimepata uchungu sanaaaa kuanzia leo naanza kua Jasusi rasmi kudadeki.
Gilly Bonny Tv (@gillybonnytv) 's Twitter Profile Photo

Ameandika Wakili @boniface_mwabukusi 2020 Niligombea...Nililinda kura zangu....Nikakusanya Matokeo yangu...Returning Officer wa Jimbo hakuhitaji matokeo yangu ili kujumlisha kura za jimbo.Alikuwa na matokeo yake kwenye laptop. Na alisema wazi kwamba Tayari ana matokeo. Na

Ameandika Wakili @boniface_mwabukusi 

2020 Niligombea...Nililinda kura zangu....Nikakusanya Matokeo yangu...Returning Officer wa Jimbo hakuhitaji matokeo yangu ili kujumlisha kura za jimbo.Alikuwa na matokeo yake kwenye laptop. Na alisema wazi kwamba Tayari ana matokeo.  Na
DouglasMboya. (@douglasmboya3) 's Twitter Profile Photo

Kama taasisi ya serikali inaiba kura ndio maana wanasema watazilinda maana yake ni kuwa hiyo taasisi haistaili kuwepo maana kuiba ni kosa la jinai. #NoReformsNoElection

Kama taasisi ya serikali inaiba kura ndio maana wanasema watazilinda  maana yake ni kuwa hiyo taasisi haistaili kuwepo maana kuiba ni kosa la jinai. #NoReformsNoElection
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🚨‼️ CHRISTIAN COUNCIL OF TANZANIA STRONGLY CONDEMNS ABDUCTIONS IN #Tanzania ‼️🚨 Bishop Stanley Hotay chair of CCT read joint statement 🔥👊🏽 We really appreciate the solidarity "Tunalaani vitendo vya watu kutekwa na kupotezwa"-; Askofu Stanley Hotay, Mwenyekiti wa Jumuiya ya

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

“Acheni Unafiki– Mauaji ya Enock ni zao la mfumo wa CCM” Kuna jambo moja la kusikitisha kuliko mauaji ya kijana Enock Mhangwa ni unafiki wa viongozi wa UVCCM kujifanya wameshtushwa na jambo walilolilea.Enock hakuuliwa na majambazi. Ameuliwa na watu waliovaa mamlaka ya serikali

“Acheni Unafiki– Mauaji ya Enock ni zao la mfumo wa CCM”

Kuna jambo moja la kusikitisha kuliko mauaji ya kijana Enock Mhangwa ni unafiki wa viongozi wa UVCCM kujifanya wameshtushwa na jambo walilolilea.Enock hakuuliwa na majambazi. Ameuliwa na watu waliovaa mamlaka ya serikali
(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Kwenye mtaji wa kisiasa kuna kitu kinaitwa INTEGRITY, hii ukiwa nayo hata mpinzani wako akiwa na majeshi, pesa, na kila aina ya privilege alizonazo incumbent, bado umnyime usingizi tu.

Kwenye mtaji wa kisiasa kuna kitu kinaitwa INTEGRITY, hii ukiwa nayo hata mpinzani wako akiwa na majeshi, pesa, na kila aina ya privilege alizonazo incumbent, bado umnyime usingizi tu.