Jackline Victor
@jacklinevictor5
Correspondent Journalist at The Chanzo, Award winning journalist, storyteller, voice over,jingles, helping people living in poverty 🥰
ID: 1164117025943429120
http://thechanzo.com 21-08-2019 10:08:57
32,32K Tweet
2,2K Followers
296 Following
Familia ya Eliza yenye watoto wenye ugonjwa wa Selimundu yawashukuru Watanzania kwa msaada.Nafurahi kuona nilicho fanya kimezaa matunda. Stori na Jackline Victor Mbunifu @shafii___hamisi. Tembelea The Chanzo kwa taarifa zaidi. Unaweza kuwasiliana nao kupitia namba 0684601059.
Muendelezo wa stori ya mzee Manyubwi anayepitia hali ya umasikini, na familia yake. Mzee Manyubwi mwenye ulemavu wa macho awashukuru Watanzania wanaoendelea kumshika mkono yeye na familia yake. Kwa msaada zaidi 0712363312. Stori na Jackline Victor