Hazzo gee (@hazzo_gee) 's Twitter Profile
Hazzo gee

@hazzo_gee

Your next tears will be tears of joy @simbasctanzania @chelseafc

ID: 1711787169025556480

calendar_today10-10-2023 16:54:16

11,11K Tweet

444 Takipรงi

980 Takip Edilen

Thiago Silva (@tsilva3) 's Twitter Profile Photo

Lutar atรฉ o final, isso รฉ Fluminense, time de guerreiros! Sรณ tenho a agradecer a Deus por poder contribuir. Parabรฉns ao time pela entrega dentro de campo e obrigado aos tricolores por todo o apoio nas arquibancadas. Vamos todos juntos! Nas boas te apoio, nas mรกs TE AMO

Lutar atรฉ o final, isso รฉ Fluminense, time de guerreiros! Sรณ tenho a agradecer a Deus por poder contribuir. Parabรฉns ao time pela entrega dentro de campo e obrigado aos tricolores por todo o apoio nas arquibancadas. Vamos todos juntos! Nas boas te apoio, nas mรกs TE AMO
Tazama (@tazamambali) 's Twitter Profile Photo

Wakati unapopambania ndoto zako na kujitafuta, usisahau kuwa Mungu ndiye chanzo cha mema yote duniani. Mche yeye. Usidhurumu wala kunyanganya cha mtu. Usiharibu maisha ya mwingine kujinufaisha. Utajiri uliopatikana kihalifu utakunyima amani, utakupa hofu na huleta kisasi.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Tumeamka na nguvu ni jambo la kumshukuru Mungu. Tunaenda kuianza siku hii nzuri kwa kuliinua jina la Mungu alietupa kibari kuiona siku hii. Ipo mipango mingi tunaipanga sisi kama wamadamu, ila bila Mungu ni bure. Tunaomba ukatembelee ofisi zetu za kazi, kabariki familia zetu๐Ÿ™๐Ÿพ

Tumeamka na nguvu ni jambo la kumshukuru Mungu.

Tunaenda kuianza siku hii nzuri kwa kuliinua jina la Mungu alietupa kibari kuiona siku hii.

Ipo mipango mingi tunaipanga sisi kama wamadamu, ila bila Mungu ni bure.

Tunaomba ukatembelee ofisi zetu za kazi, kabariki familia zetu๐Ÿ™๐Ÿพ
Innocent Makauki (@makeynovelsinc) 's Twitter Profile Photo

Nimesoma andiko la Boniface Jacob likifafanua kinaga ubaga kwamba waliomteka ndugu yetu DEUSDEDITH SOKA ni walewale waliomteka SATIVA17 na nimesoma habari ya Mwananchi Newspapers ya Police Force TZ ikikanusha kuhusika na utekaji huo. Maumivu niliyonayo hayaelezeki. Hatupo salama. #freeSoka

Nimesoma andiko la <a href="/ExMayorUbungo/">Boniface Jacob</a> likifafanua kinaga ubaga kwamba waliomteka ndugu yetu <a href="/DEUSDEDITHSOKA/">DEUSDEDITH SOKA</a> ni walewale waliomteka <a href="/Sativa255/">SATIVA17</a> na nimesoma habari ya <a href="/MwananchiNews/">Mwananchi Newspapers</a> ya <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> ikikanusha kuhusika na utekaji huo. Maumivu niliyonayo hayaelezeki. Hatupo salama. #freeSoka
ibrahim kasuga (@ibrakasuga) 's Twitter Profile Photo

Imagine Cole Palmer msimu uliopita 2023-24 alifunga mabao 22 na Assists 11 alihusika kwenye mabao 33, mengi kuliko mchezaji yoyote kwenye EPL. Lakini Palmer hayupo kwenye kikosi bora cha msimu cha PFA na ndio mchezaji bora kijana kwenye tuzo za PFA. Imagine ๐Ÿ˜‚

Imagine Cole Palmer msimu uliopita 2023-24 alifunga mabao 22 na Assists 11 alihusika kwenye mabao 33, mengi kuliko mchezaji yoyote kwenye EPL. Lakini Palmer hayupo kwenye kikosi bora cha msimu cha PFA na ndio mchezaji bora kijana kwenye tuzo za PFA.
Imagine ๐Ÿ˜‚
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšจโ€ผ๏ธUSIPITE BILA KUSOMAโ€ผ๏ธ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ RIPOTI FUPI ILIYOANDALIWA NA VIJANA KUHUSU KUKAMATWA NA POLISI KWA DEUSDEDITH SOKA NA WENZAKE WAWILI, KISHA POLISI KUTOKOMEA NAO KUSIKOJULIKANA Siku ya tarehe 10-08-2024 mwanaharakati DEUSDEDITH SOKA ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya

๐Ÿšจโ€ผ๏ธUSIPITE BILA KUSOMAโ€ผ๏ธ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ

RIPOTI FUPI ILIYOANDALIWA NA VIJANA KUHUSU KUKAMATWA NA POLISI KWA DEUSDEDITH SOKA NA WENZAKE WAWILI, KISHA POLISI KUTOKOMEA NAO KUSIKOJULIKANA 

Siku ya tarehe 10-08-2024 mwanaharakati DEUSDEDITH SOKA ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya
#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’ (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

Nikitazama Wasanii Wa #Era Yangu Kwenye RAP Tuliotoka 2007-2010 -#YoungDee #Izzo #Quick #Kala, #Niki (Wote Wawili) #TheLateZila #Uno #Stereo #Shetta Na Wengine Wengiโ€ฆ..Ukimtoa Zizi Naona Kama Wamelisusa Game Hivi Hawako Active Kivileโ€ฆ..Kijiti Wameniachia Mwenyewe Nipambane Na

Yogi (@zeeswitcher) 's Twitter Profile Photo

OMG guyssss๐Ÿคฏ๐Ÿคฏ๐Ÿคฏ๐Ÿคฏ๐Ÿคฏi am doomed i just sent a picture of a pussy to a serious business WhatsApp group๐Ÿ˜จ๐Ÿ˜จ๐Ÿ˜จโ€ฆ. I am dead! Imekaa hapo for like 2 mins someone called me๐Ÿ˜จ๐Ÿคฏโ€ฆ omg.

Ki Messi Mweusi ๐Ÿ (@1960remija) 's Twitter Profile Photo

Taasisi kubwa na yenye mafanikio kama Yanga kwa sasa haya mambo ya madai kutoka FIFA yanatuharibia sana, nadhani kuna shida kwenye kuachana na wachezaji + makubaliano ya kuvunja mikataba. Hatukatai hakuna klabu isiyodaiwa, mbona ni sisi always? Tunashindwa hata kuwatetea sasa. ๐Ÿ’”

Taasisi kubwa na yenye mafanikio kama Yanga kwa sasa haya mambo ya madai kutoka FIFA yanatuharibia sana, nadhani kuna shida kwenye kuachana na wachezaji + makubaliano ya kuvunja mikataba. Hatukatai hakuna klabu isiyodaiwa, mbona ni sisi always? Tunashindwa hata kuwatetea sasa. ๐Ÿ’”