_Zahiri sunflower_ (@isujahuseni) 's Twitter Profile
_Zahiri sunflower_

@isujahuseni

Uaminifu ni sehemu ya maisha yangu.

ID: 868991463312568320

calendar_today29-05-2017 00:44:44

1,1K Tweet

305 Followers

574 Following

Daudi T. Balali (@daudibalali) 's Twitter Profile Photo

Magufuli atashinda kwa zaidi ya 80%. Lissu atasaidia kuijenga upya CHADEMA lakini itatokea mifarakano ya kimaslahi. Mwinyi atashinda Zanzibar, CCM na ACT wataunda GNU iwapo ACT hawatasusa. ACT Bara itasinyaa. CUF & NCCR wamefika mwisho. 2025 utakuwa uchaguzi usiotabirika kwa CCM.

JUMA MUSSA (@mikononyuma05) 's Twitter Profile Photo

Leo nilifika hapa👇na familia yangu, kupata lunch na ilikuwa late lunch baada ya mizunguko.tulipoingia tu vijana wangu wa kiune walielekea washroom. Walipokuja sehemu tulipochagua kuketi wakanambia baba kule chooni tumeokota wallet ina pesa nyingi sana tumempa mhudumu.......

Leo nilifika hapa👇na familia yangu, kupata lunch na ilikuwa late lunch baada ya mizunguko.tulipoingia tu vijana wangu wa kiune walielekea washroom. 
Walipokuja sehemu tulipochagua kuketi wakanambia baba kule chooni tumeokota wallet ina pesa nyingi sana tumempa mhudumu.......
Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

MSISAHAU WANANGU kuna wakati presha ya mafanikio inatupelekea kufanya makosa mengi sana, msisahau Wanangu tupo kwenye foleni na Mungu ndie Mpangaji, hata kama upo nyuma utafika! Amini kwenye hatua zako, amini kwenye huo mchongo wako, wakikulazimisha ufanane na wengine waambie

#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

NUKUU YA LEO: “Usitarajie chochote kutoka kwa mtu yeyote. Hakuna uhuru mkubwa maishani kama kujihudumia na kujali maisha yako bila kumtegemea mtu.” - Mooji

NUKUU YA LEO: “Usitarajie chochote kutoka kwa mtu yeyote. Hakuna uhuru mkubwa maishani kama kujihudumia na kujali maisha yako bila kumtegemea mtu.” - Mooji
Abdulkarim  Juma (@jumaabdukarim) 's Twitter Profile Photo

Tutapinga dhulma uonevu na manyanyaso bila kuangalia dini ya mtu. Kila mmoja mpenda haki anatakiwa kumpinga #mwaipopo na huu ujinga wake na silaha yake ya udini. Mimi Abdulkarim Juma kama muislam safi napinga huu ujinga wa mwaipopo na notasimama kukemea dhulma daima

Tutapinga dhulma uonevu na manyanyaso bila kuangalia dini ya mtu. Kila mmoja mpenda haki anatakiwa kumpinga #mwaipopo na huu ujinga wake na silaha yake ya udini. Mimi <a href="/JumaAbdukarim/">Abdulkarim  Juma</a>  kama muislam safi napinga huu ujinga wa mwaipopo na notasimama kukemea dhulma daima
Ezekiel (@mtotowak) 's Twitter Profile Photo

Idris Biashara yangu mimi nikuuza nguo natembeza mnadani ila kama unavyo ona ninauhitaji wa mtaji kwasababu biashara yangu bado changa afu nguo zinawaha kukata kwaiyo hela yangu yote najikuta inashia Barabaran napopeleka mzigo na ninapo enda kununua mzigo

<a href="/IdrisSultan/">Idris</a> Biashara yangu mimi nikuuza  nguo natembeza mnadani ila kama unavyo ona ninauhitaji wa mtaji kwasababu biashara yangu bado changa afu nguo zinawaha kukata kwaiyo hela yangu yote najikuta inashia Barabaran napopeleka mzigo na ninapo enda kununua mzigo
_Zahiri sunflower_ (@isujahuseni) 's Twitter Profile Photo

Haijalishi umbali mliotoka ila ukijiridhisha uko katika mwelekeo usio sahihi yaani una mtu asiye sahihi usiogope kusitisha safari hiyo kwa usalama wa kesho yako.

THINK BIG 🇹🇿 (@thinkbig2025) 's Twitter Profile Photo

KWANINI UWANJA WA MKAPA UITWE SAMIA STADIUM? Mama ameukarabati kwa zaidi ya bilioni 30 uwe kama Wembley Mama kaleta AFCON 2027 (Pamoja Bid) Hamasa ya goli la Mama kuzikifisha Simba na Yanga robo fainali CAFCL Anatajwa kuwa Rais Mpenda michezo kuliko wote Afrika kwa sasa

KWANINI UWANJA WA MKAPA UITWE SAMIA STADIUM?

Mama ameukarabati kwa zaidi ya bilioni 30 uwe kama Wembley 

Mama kaleta AFCON 2027 (Pamoja Bid)

Hamasa ya goli la Mama kuzikifisha Simba na Yanga robo fainali CAFCL

Anatajwa kuwa Rais Mpenda michezo kuliko wote Afrika kwa sasa
_Zahiri sunflower_ (@isujahuseni) 's Twitter Profile Photo

Moyo ni mzee wa majuto, lakini majuto hayawezi kuandika barua ya kurudisha kilichopotea. Wakati mwingine kilichopotea hakiwezi kupatikana tena na kinachoumiza sio kwamba kiliondoka, bali ni kujua kuwa kilikuwepo mikononi mwako na hukuthamini hadi kilipoondoka..

Masanja PN🌻 (@masanjapn) 's Twitter Profile Photo

Tanzania Bound Buses Official Royal Express "Be Honored Lord" ni usemi wa kumtukuza Mungu au kumwonesha shukrani na heshima kuu. Mara nyingi hutumika kwenye nyimbo za ibada, sala, au hotuba za kidini.

millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

'Ni kweli ktk zama hizi bado tunahitaji mtoto wa miaka 8-15 kuwa chipukizi ili kumtumia kwenye siasa badala ya kumuacha asome?'JPM