
John Heche
@hechejohn
Vice Chairman Chadema Tanganyika, former Member of Parliament for Tarime rural constituency, a reformer.
ID: 558686364
https://en.wikipedia.org/wiki/John_Heche 20-04-2012 12:45:14
82,82K Tweet
777,777K Followers
1,1K Following




On Hon. Tundu Antiphas Lissu case, the International Democracy Union through Hon davidmcallister says;

Hapa ni Korogwe, mvua imenyesha tani laki tatu…. Lakini wananchi wamebaki wanamsikiliza Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche akiwaeleza kwa kiwango gani MaCCM yameharibu Mkoa wa Tanga na kuwafanya wakazi wa wilaya kongwe ya Korogwe kuwa maskini kiwango cha kutisha.

Mhe. John Heche akizungumza na Wananchi wa Korogwe mjini licha ya mvua kubwa inayonyesha lakini Wananchi hawakuondoka Uwanjani walibaki kusikiliza nondo za #NoReformsNoElection NB. Huu ni mkutano wa saa 3 asubuhi.







"Inawezekanaje Mechi ya Simba na Yanga halafu refa awe Hajji Manara"-; Mhe. John Heche anawauliza Wananchi wa Muheza.



Baada ya mkutano wa hadhara Tanga Mjini, CHADEMA tukiongozwa na Makamu Mwenyekiti John Heche na Katibu Mkuu MNYIKA John John tumetembelea nyumbani kwa Mzee #AliMohammedKibao na kusalimia familia. Pichani ni mjane wa Mzee Ali Kibao akilia kwa uchungu. Serikali ya MaCCM ni KATILI sana.




