
Goragod Prakot
@gora_god
ID: 1868937379954016258
17-12-2024 08:33:21
277 Tweet
7 Takipçi
450 Takip Edilen






Maria Sarungi Tsehai Udhaifu unamfanya Bi chura kiziwi kuhangaika namna ya Kumzuia Mh Tundu Antiphas Lissu lakini hataweza.








Drama ya kitoto kiasi hiki inadihirisha ukosefu wa ukomavu wa kifikra wa mtoa maagizo/chura na watekelezaji wake❗️ Samia Suluhu ikulu_Tanzania Alishatutangazia kuwa hakufaulu form IV. Uongozi wake pia una ladha ya ukosefu wa dira, uwezo, nidhamu na fikra pevu! Aibu zenu ‼️


Lubasha Jr Kuna Mtu Hela alizotafuta hadi sahivi Asipokaa chonjo zinaenda kuisha kwenye Kampeni zake Binafsi na km Hana shughuli nyingine zaidi ya kutegemea Siasa Pekee baada ya Miaka Mitano asipolia Madeni sijui Maana hata Kiinua mgongo cha 260M Hakitatosha kukidhi Mahitaji? WATCH OUT ⚠️

