Ghost (@ghost_pizoo) 's Twitter Profile
Ghost

@ghost_pizoo

Economist

ID: 1478086328780824581

calendar_today03-01-2022 19:30:34

2,2K Tweet

3,3K Takipรงi

5,5K Takip Edilen

Lil Dee (@lil_dee06) 's Twitter Profile Photo

Daktari alikiwa amekaa na mwanauchumi walikuwa kwenye sherehe sikukuu ya krisimasi. Walikuwa wakifurahia na kunywa vinywaji na mazungumzo mazuri. Daktari akauliza, "Sijui ni semeje hili swala linalonisumbua sana unakuta watu wananiuliza kuhusu shida zao za kiafya mara maumivu ya

Daktari alikiwa amekaa na mwanauchumi walikuwa kwenye sherehe sikukuu ya krisimasi. Walikuwa wakifurahia na kunywa vinywaji na mazungumzo mazuri.

Daktari akauliza, "Sijui ni semeje hili swala linalonisumbua sana unakuta watu wananiuliza kuhusu shida zao za kiafya mara maumivu ya
abymzigua (@abyasmzigua) 's Twitter Profile Photo

Dr. Hamisi Kigwangalla Masoud Kipanya Kama DUNIA nzima ni jangwa. Basi bara la AFRIKA ndiyo OASIS ya jangwa hilo. Oasis ni sehemu ya jangwa inayopatikana maji. Picha hapo chini inaweza kukuonesha hilo. Twende katika picha ya Masoud Kipanya sasa... Kipanya kaitambulisha AFRIKA katika taswira ya OASIS akimaanisha

<a href="/HKigwangalla/">Dr. Hamisi Kigwangalla</a> <a href="/masoudkipanya/">Masoud Kipanya</a> Kama DUNIA nzima ni jangwa. Basi bara la AFRIKA ndiyo OASIS ya jangwa hilo. 
Oasis ni sehemu ya jangwa inayopatikana maji. Picha hapo chini inaweza kukuonesha hilo.

Twende katika picha ya <a href="/masoudkipanya/">Masoud Kipanya</a> sasa...

Kipanya kaitambulisha AFRIKA katika taswira ya OASIS akimaanisha
MalisaGJ (@malisagj_) 's Twitter Profile Photo

Nyerere ni kama alijua yanayotokea leo. Gharama za maisha zimepanda. Sukari haishikiki, bei ya mafuta imepaa, vifaa vya ujenzi ndio balaa. Yani kwa kifupi hakuna penye afadhali. Lakini kipato cha mwananchi kimebaki kilekile. Mkazi wa Chanika aliyekua anakuja kubangaiza mjini

Zoom Afrika (@zoomafrika1) 's Twitter Profile Photo

I want to tell you Tanzanians, we don't have any uncle or aunt in Europe who will solve our problems. It's a must that Tanzania be built by Tanzanians themselves, this country is rich. -John Magufuli- (Former President of Tanzania)

I want to tell you Tanzanians, we don't have any uncle or aunt in Europe who will solve our problems. It's a must that Tanzania be built by Tanzanians  themselves, this country is rich.

-John Magufuli-
(Former President of Tanzania)
Ghost (@ghost_pizoo) 's Twitter Profile Photo

Mwalimu alikuwa mwalimu kweli, lakini mheshimiwa ili kiongozi aweze kuumganisha watu pande zote zinatakiwa kuwa tayari kuunganishwa ila hizi tabia za wazanzibar kujiona wao ndo wanahaki zote haziwezi tufikisha tunapotaka

Ghost (@ghost_pizoo) 's Twitter Profile Photo

Katika pitapita zangu nikakutana na huyu hapa hustler akijaribu kuhakikisha mkono unakwenda kinywani na kuyamudu mahitaji yake katika huu ulimwengu wenye gape kubwa kati ya masikini na tajiri. Live life to the fullest for tomorrow might never come๐Ÿคž

Ghost (@ghost_pizoo) 's Twitter Profile Photo

Punguza jazba kwanza halaf hapa sibishani nawewe mdogo angu niko nakuelekeza sasa tukubaliane kama hutaki kuelewa mi nikaushe kama unataka kuelewa nikuelekeze

Ghost (@ghost_pizoo) 's Twitter Profile Photo

What happens when demand for love is greater that its supply, how can it affect the welfare of consumer of that commodity (love)

Almach Nestory ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ (@nestoryalm42370) 's Twitter Profile Photo

Magogoni Daily Huyu hapa kiongozi bora wa muda wote, alikuwa kiongozi mtendaji na mzalendo wa kweli, aliwajali sana wananchi wake kwa kila kitu alitanguliza maslahi ya nchi na wananchi wake, alikuwa mwenye maono, mipango mizuri na misimamo dhabiti, daima tutamkumbuka.