Ester Thomas (@ester_thomas1) 's Twitter Profile
Ester Thomas

@ester_thomas1

Deputy Secretary General-Tanzania Mainland @ACTWazalendo. Researcher/Founder of @F.I.S.H organization and @www.jrsconsult.co.tz

ID: 1458138908722597889

calendar_today09-11-2021 18:26:35

2,2K Tweet

2,2K Followers

506 Following

Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile Photo

Tunavyosema ACT Wazalendo ndio chama pekee cha upinzani Tanzania chenye Taswira ya Kitaifa yani kunakubalika Zanzibar na Tanganyika. Haya ni Mapokezi Mazito ya Wagombea wetu wa Urais Zanzibar, Othman Masoud Othman na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Luhaga Mpina. Oktoba #LindaKura

Tunavyosema ACT Wazalendo ndio chama pekee cha upinzani Tanzania chenye Taswira ya Kitaifa yani kunakubalika Zanzibar na Tanganyika.

Haya ni Mapokezi Mazito ya Wagombea wetu wa Urais Zanzibar, <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a> na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Luhaga Mpina.

Oktoba #LindaKura
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Inatokea sasa hivi, yaani NOW! Mapokezi ya Mgombea Urais Zanzibar Othman Masoud Othman akisindikizwa na Mgombea Urais Muungano Ndg. Luhaga Mpina na Mgombea Mwenza Bi Fatma Ferej kisiwani Unguja

Inatokea sasa hivi, yaani NOW! Mapokezi ya Mgombea Urais Zanzibar <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a> akisindikizwa na Mgombea Urais Muungano Ndg. Luhaga Mpina na Mgombea Mwenza Bi <a href="/FatmaFereji/">Fatma Ferej</a> kisiwani Unguja
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Uzi Picha na Matukio ya Mapokezi ya Mgombea Urais wa Tanzania, Urais wa Zanzibar na Mgombea Mwenza. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Uzi 
Picha na Matukio ya Mapokezi ya Mgombea Urais wa Tanzania, Urais wa Zanzibar na Mgombea Mwenza.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

Jambo TV ACTWazalendo Sasa mwambieni chakubanga wenu aseme tena. Akisema tu, tunawakera tena. Ndo kwanza tumeanza. Focus yetu ni moja tu, Kazi yetu ni moja tu, ya kihistoria... Nayo ni kuiong'oa CCM madarakani. Iwe CCM ya mama yenu. Au hiyo anayopigania chakubanga. OKTOBA #LindaKura

<a href="/Jambotv_/">Jambo TV</a> <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Sasa mwambieni chakubanga wenu aseme tena. Akisema tu, tunawakera tena. Ndo kwanza tumeanza. 

Focus yetu ni moja tu, 
Kazi yetu ni moja tu, ya kihistoria... 
Nayo ni kuiong'oa CCM madarakani. 

Iwe CCM ya mama yenu. Au hiyo anayopigania chakubanga. 

OKTOBA #LindaKura
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Salamu hizi nazipeleka kwa Rais Samia Suluhu, Wazanzibar waliuawa mwaka 2020 kwa sababu ya CCM kuleta kura ya siku mbili. Ondoeni hili jambo. Kwani mfumo huu ni mfumo wa kuua watu." KC Mstaafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Msimamo rasmi wa Chama chetu kufuatia barua ya Tume ya Uchaguzi kukataa kupokea fomu za Mgombea wetu wa Urais ndg Luhaga Mpina. Tutapigania haki yetu mpaka mwisho. Hatuyumbi wala kuyumbishwa. Hatupeperushwi, TUTAPEPEWA!

Msimamo rasmi wa Chama chetu kufuatia barua ya Tume ya Uchaguzi kukataa kupokea fomu za Mgombea wetu wa Urais ndg Luhaga Mpina. Tutapigania haki yetu mpaka mwisho. Hatuyumbi wala kuyumbishwa. Hatupeperushwi, TUTAPEPEWA!
Land Dwellers (@land_dwellers) 's Twitter Profile Photo

Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo,Ester Akoth Thomas hapo jana ameteuliwa rasmi na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kugombea Ubunge Jimbo la Nyamagana,Mwanza. Ester amesema katika Kata zote 18 za jimbo hilo,ACT Wazalendo wameweka wagombea wazuri watakaopeperusha bendera ya chama.

Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo,Ester Akoth Thomas hapo jana ameteuliwa rasmi na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kugombea Ubunge Jimbo la Nyamagana,Mwanza.

Ester amesema katika Kata zote 18 za jimbo hilo,ACT Wazalendo wameweka wagombea wazuri watakaopeperusha bendera ya chama.