Eng. Abbas Maluka
@engmaluka
Civil Engineer.
Entrepreneur.
Chelsea FC fan.
I like Politics, CCM๐.
I am the Champion in ๐ฎ.
ID: 1170153240
http://www.abragroup.co.tz 11-02-2013 22:10:43
833 Tweet
201 Followers
961 Following
Zanzibar oyeeee ๐ Chama Cha Mapinduzi CHAMA CHA MAPINDUZI - Zanzibar Shaka Hamdu Shaka @DanielGChongolo UVCCM TZ
Nimemsikiliza ndugu richard mgamba TBC ARIDHIO leo, akiongelea juu ya ongezeko la Tsh 50 katika mafuta hapa inchi lililowekwa katika bajeti iliyoanza July 2021, ameeleza safi sana na nimefarijika kumsikia na hasa alivyoeleza kwa umahili masuala ya kiuchumi. Hongera TBC DIGITAL
๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ Hiyari yangu katika chanjo ya COVID-19 nitaitumia kwa kuchanjwa. Naamini Mungu ndo mlinzi wa afya yangu lakini amenitaka niweke juhudi katika maombi yangu ya kila jambo hivyo kuchanjwa kwangu ni juhudi ya kumuomba aninusuru na ugonjwa huu. Naungana na Raisi wangu๐น๐ฟ๐
Hongera sana mwana msimbazi mwenzangu kaka wa Taifa na mtu mwenye hekima na busara nyingi sana Mhe January Makamba kwa uteuzi. Kwahakika naimani sasa umeme kila kitongoji linaenda kutimia. instagram.com/p/CTu8pHGLuR7/โฆ
Tulieni 2025 tunajambo letu. Official 2025 - 2030 Raisi wangu ni SSH Samia Suluhu Chama Cha Mapinduzi UVCCM TZ #Kaziiendelee #TwendeNaSSH
Namna ambavyo Chama Cha Mapinduzi kinasimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya 2020 ni dhahili kuwa serikali inaenda kufanya makubwa Sana katika kuletaji maendeleo nchini. CCM imara, Serikali imara ๐ Chama Cha Mapinduzi Samia Suluhu Dr Hussein Ali Mwinyi @DanielGChongolo Shaka Hamdu Shaka