Laul🌺🦋 (@saraphinalaul78) 's Twitter Profile
Laul🌺🦋

@saraphinalaul78

UDSM📚 🧚🧚

NO FACEBOOK ❎ +255 🌺X family ❤️💃

ID: 1744811446205087744

calendar_today09-01-2024 20:01:05

8,8K Tweet

5,5K Followers

3,3K Following

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Juzi mlisimama BUNGE zima kwa Dakika moja kuombea ndugu zetu Mliowaua, leo tunapost watu mliowaua mnasema AI. Kama taifa tukubali tuu kwamba Tunaongozwa na FORM 4 felia, haya ndio malipo ya kuongozwa na KILAZA.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

AI ZOTE DUNIANI ZIMEKATAA KUHUSIKA NA KUEDIT VIDEO YA MOCHWARI MWANANYAMALA NA ZIMESISITIZA VIDEO HIYO NI HALALI. SERIKALI tuambieni ndugu zetu mmewazika wapi? REPOST 500 TUTAKUWEPO🫵🏾😎

AI ZOTE DUNIANI ZIMEKATAA KUHUSIKA NA KUEDIT VIDEO YA MOCHWARI MWANANYAMALA NA ZIMESISITIZA VIDEO HIYO NI HALALI.

SERIKALI tuambieni ndugu zetu mmewazika wapi? 

REPOST 500

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Daktari Wa Manesi 💉💊 (@mcinikawalamar) 's Twitter Profile Photo

Hakuna ushindani unaokaribia ule wa Car Show Spinner. Kila spin ni kama kupiga lap ya ushindi Huu ni mchezo wa Dubwi unaokupa msisimko wa mashindano. Unapatikana mtandaoni betPawa Tanzania pekee 💰 Cheza ushinde mpunga wa kutosha bofya link 👉🏿 bit.ly/3Ja0gw4 #betPawaSpinners

TONY ALFRED K (@tonyalfredk) 's Twitter Profile Photo

Picha za East Africa TV zikionesha ukarabati wa chumba cha kuhifadhia maiti Mwananyamala 2014. Chapisho liko Facebook yao wameweka picha 14 jumla facebook.com/media/set/?set…

Picha za East Africa TV zikionesha ukarabati wa chumba cha kuhifadhia maiti Mwananyamala 2014.

Chapisho liko Facebook yao wameweka picha 14 jumla
facebook.com/media/set/?set…
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Huyu nae alipigwa risasi Oktoba 30 usiku maeneo ya Salasala Mbezi beach. Polisi wakabeba mwili wake na kuondoka nao, ndugu walizunguka mochwari zote bila mafanikio. Jana kwenye ile video ya Mwananyamala baada ya kuzoom wakafanikiwa kuona mwili wa ndugu yao halafu Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿

Huyu nae alipigwa risasi Oktoba 30 usiku maeneo ya Salasala Mbezi beach.

Polisi wakabeba mwili wake na kuondoka nao, ndugu walizunguka mochwari zote bila mafanikio.

Jana kwenye ile video ya Mwananyamala baada ya kuzoom wakafanikiwa kuona mwili wa ndugu yao halafu <a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿</a>
KIJItu (@kijitu20) 's Twitter Profile Photo

Shabiki mwenzetu wa Man u amewakosea nini mpaka afe??kuandamana ?? Hukumu kifo?? Hukumu ya MUNGU ipo karibu ipo karibu na nyie.

Shabiki mwenzetu wa Man u amewakosea nini mpaka afe??kuandamana ?? Hukumu kifo??   Hukumu ya MUNGU ipo karibu ipo karibu na nyie.
Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Kupost ishu za Fulani kachaguliwa WIZARA fulani, ni USALITI kwa Wanetu walioporwa UHAI { oct29 } 💔 Narudia kwa kukazia 👇🏽 KUPOST ISHU ZA FULANI KACHAGULIWA WIZARA FULANI, NI USALITI KWA WANETU WALIOPORWA UHAI OCTOBER 29 JISHIKILIENI WAZEE 🚶🏾‍♂️