Tumbuka J J
@peter_emmanuel3
Hekima ni shamba la mavuno
ID: 3240234988
07-05-2015 09:34:36
5,5K Tweet
1,1K Followers
895 Following
Ukiwa unapitia Mitihani soma hapa: 1 Wakorintho 10:13 โJaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; lakini Mungu ni mwaminifu, ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; bali pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kulivumilia.โ๐๐ผ