
Manolo
@manolo_majo
2 TB 🧠drive with 24 Valve
ID: 3235827575
05-05-2015 12:58:29
5,5K Tweet
191 Followers
577 Following




millardayo Kwamba Ayo mareporter wako hawaekewi kinachoendelea Nepal? Kwamba ww upo busy na CCM tu mengine hayakuhusu? Ipo siku utalipia hii












EastAfricaTV Tutasaidiwa na wanajeshi wazalendo wenye mafunzo makubwa kuliko nyie vijaragosi wa mafisadi, hatuwaogipi, tutachoma sheri, magari, majumba ya mafisadi, hapo mnapandisha hasira za wananchi wala hamtutishi




Maria Sarungi Tsehai Naheshim sana kizazi cha mtandao Gen-Z wakiamua jambo halishindikani. Wanacontrol Media(TV & Radio) Gen-Z wanatupilia mbali media zao wanapashana habari mtandaoni harafu sasa wakifanya action ni bomu la nuclear kwa watawala. October 29 tunaikomboa Tanganyika yetu

