BUDAH (@mangejr_) 's Twitter Profile
BUDAH

@mangejr_

Degree holder (BAED)
Teacher at CHONA SS

ID: 1853518804430598144

calendar_today04-11-2024 19:25:31

114 Tweet

8 Followers

275 Following

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

*ANAANDIKA Askofu Bagonza PhD* KUNA MAMBO HAYAKO SAWA Kuna mambo yanayotuunganisha wote bila kujali itikadi, dini, jinsia, kabila, hali ya mtu kiuchumi, ufupi au urefu wa mtu kama mimi. Haya yote yanaunganishwa na neno HAKI au kwa Kijaluo JUSTICE. Kuna mambo 10 hayako sawa

*ANAANDIKA Askofu Bagonza PhD* 

KUNA MAMBO HAYAKO SAWA

Kuna mambo yanayotuunganisha wote bila kujali itikadi, dini, jinsia, kabila, hali ya mtu kiuchumi, ufupi au urefu wa mtu kama mimi. Haya yote yanaunganishwa na neno HAKI au kwa Kijaluo JUSTICE.

Kuna mambo 10 hayako sawa
Kaji (@kaji_sijo) 's Twitter Profile Photo

6. Alitanguliza mbele kilimo kwa kusambaza zaidi ya matrekta 400, tila 239, pampu za magari 710 na pikipiki 714 ili kuongeza uzalishaji na kusaidia wakulima vijijini. Alitoa upatikanaji wa mbegu bora na pembejeo nyingine za kilimo ili kuongeza pato la kilimo. Uzalishaji wa

Zumbe Khan👑 (@zumbekhan) 's Twitter Profile Photo

Unapotumia WhatsApp, unawasiliana na dunia. Lakini je, unalinda taarifa zako vya kutosha.!? Watu wengi wanatumia WhatsApp kila siku lakini hawajui kuna mpangilio I mean settings Nne tu zinayoweza kubadili kila kitu.! Soma, elewa,like,repost ili iwafikie wengi. SHUKA NA UZI 🧵👇

Unapotumia WhatsApp, unawasiliana na dunia. Lakini je, unalinda taarifa zako vya kutosha.!?

Watu wengi wanatumia WhatsApp kila siku lakini hawajui kuna mpangilio I mean settings Nne tu zinayoweza kubadili kila kitu.!

Soma, elewa,like,repost ili iwafikie wengi.
SHUKA NA UZI 🧵👇
𝗕𝗔𝗗𝗠𝗔𝗡 (@d1_janja) 's Twitter Profile Photo

Ushawahi kufuma watu Kwa bahati mbaya wanafanya SEX. Ilikuaje ? Nakumbka Niko O level jioni ya saa moja nikaenda shule bahati mbaya nikamkuta master anamlomba head girl ofisni kwake. Aisee jamaa alichanganyikiwa kinoma akawa mpole hakuwah kunichapa mpaka namaliza shule.

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Kesho, Jumatatu, tuhudhurie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu. Kwa kuwa hadi sasa Mahakama ya Tanzania hawajatueleza kama wataonesha ‘LIVE’ mwenendo wa kesi hizo, sote tujitokeze Mahakamani. #TunduLissuSioMhaini #NoReformsNoElection

Kesho, Jumatatu, tuhudhurie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>. Kwa kuwa hadi sasa <a href="/judiciarytz/">Mahakama ya Tanzania</a> hawajatueleza kama wataonesha ‘LIVE’ mwenendo wa kesi hizo, sote tujitokeze Mahakamani. #TunduLissuSioMhaini #NoReformsNoElection
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 (@labella_mafia95) 's Twitter Profile Photo

Nimegundua kitu — Wasukuma ni “president material”! 💪🏽Sio watu wa kona kona, hawapendi makuu, na wapo loyal kama Wamasai. Akijitokeza Msukuma kugombea urais siku moja, tumpe kura full mkono! 🇹🇿

Nimegundua kitu — Wasukuma ni “president material”! 💪🏽Sio watu wa kona kona, hawapendi makuu, na wapo loyal kama Wamasai. Akijitokeza Msukuma kugombea urais siku moja, tumpe kura full mkono! 🇹🇿
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 13 Anaendelea Mhe. Lissu Hiyo sheria inayotumika kuficha mashahidi haijawahi kuwa kwenye website ya Bunge ni sheria ambayo haijulikani kabisa. Huyu Katuga anasimama anaongea takataka kwamba nisiongee kuhusu mashahidi kufichwa kwasababu sheria

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 14 Anaendelea Mhe. Lissu Lissu ameulizwa je utakuwa na mashahidi wangapi? Mashahidi wangu watakuwa kama ifuatavyo 1. Samia Suluhu Hassan atakuwa ni shahidi wangu wa kwanza Hakimu anasema anasema kuna taarifa inasambazwa muda huu, anasema kuna

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Mahakamani pamechafuka sana Leo.. 😆 TAL ameambiwa ataje mashahidi wake kama anao. TAL amemtaja SSH, Mpango na Majaliwa katika orodha ya mashahidi wake. Hakimu Franco Kiswaga akasema hao mashahidi ataomba kibali Mahakama Kuu waingie kwa kuwa hawezi kuwaingiza katika commital.

nascoba@drainbrain (@nathanndubi67) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Tundu Antiphas Lissu Hii ni kiboko...tulisema wamwachie wakatuna mafuvu! Maana kwa mujibu wa katiba ya Tanzania serikali inaundwa na RAIS, MAKAMU WA RAIS, PM, MWANASHERIA WA SERIKALI, hao ndo watakuja kuthibitisha serikali yao ilihainiwa/ilipinduliwa vipi? Next level ya watu Genius.