Freddie (@frediejustine) 's Twitter Profile
Freddie

@frediejustine

Centrist. Diplomat. Carpe Diem

ID: 518423671

calendar_today08-03-2012 12:00:46

101,101K Tweet

61,61K Followers

631 Following

Freddie (@frediejustine) 's Twitter Profile Photo

…. Shughuli za Bunge bado hazijakoma. Mbunge Aida Kenan ana haki kukutana na wananchi wake. Kuwapiga waliokusanyika kwa amani ni kuvunja KATIBA. Ibara 63(2) – Mbunge ni mwakilishi wa wananchi, Ibara 18 – Haki ya kutoa maoni na Ibara 20(1) – Haki ya kukusanyika kwa amani.