Eng.chitungu (@chitungu05) 's Twitter Profile
Eng.chitungu

@chitungu05

@chelseafc
@ihefsc

THE ORBIT OF THE PAST IS FUTURE FOR THE GHOST:

ID: 1524773425113350146

calendar_today12-05-2022 15:28:30

16,16K Tweet

4,4K Followers

6,6K Following

Hustler👣 (@mrkongajr) 's Twitter Profile Photo

Mbali Na CHATGPT. Tumia Reddit Kupata Maarifa , Ideas Na Majibu Ya Maswali Yako Kutoka Kwa Watu Halisia. Sogea Kule Na Kajifunze.

Eng.chitungu (@chitungu05) 's Twitter Profile Photo

1.kukodi heka moja ya mpunga mbarali 300k mpaka 500k 2.mbegu 100k 3.kukatua 80k 4.kuchonga matatu 50k 5.kuvuruga 100k 6.kuokotea 60 k 7. kupanda 100k 8.mbolea na dawa 200k 9.kupalilia 50k 10.kulinda ndege 50 k 11.kuvuna 150k 12.mifuko na wabebaji 100k 12.kulipia maji 50k..

Miss Chelsea1221 (@misschelsea1221) 's Twitter Profile Photo

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏 👉Bei Jezi ya ligi 27,000/= 👉Bei jezi ya zamani(Vintage) 35,000/= 👉Huduma ya kuprint inapatikana Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏

👉Bei  Jezi ya ligi 27,000/=
👉Bei jezi ya zamani(Vintage) 35,000/=
👉Huduma ya kuprint inapatikana

Wa.me/+255623346245
Au 0714336827

👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Dr. Mishy🇲🇫 (@sharonmontana20) 's Twitter Profile Photo

Hiyo 30k unayotaka kwenda kubandika kucha mtumie Baba yako Kule kijijini mwambie Baba nunua kilo moja ya Nyama ule Leo weekend 🫵 Utabarikiwa Sana binti Sayuni

𝐓𝐨𝐱𝐢𝐜 𝐃𝐚𝐰𝐠👑 (@imajeshi_) 's Twitter Profile Photo

Kila mwaka kuna msichana ambaye ni BIKIRA anafikisha miaka 18, usije ukadanganywa kwamba wanawake mabikira hawapo. Wapo wengi mno ila kuwapata ndio mpaka utoke hapo unapoishi uende kwenye mikoa kama Katavi na Simiyu. Kupata mwanamke Bikira mpaka utoke hapo ulipo!

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Wasee, hebu tuambiane ukweli kwa mara moja.Kila siku ni kelele za pombe, malaya, miziki ya kipuuzi, na vibes zisizo na maana.Taifa linaungua, watu wanateseka nyie mko bize na nani kapost nini na nani kanunua viatu vya bei gani. Mnatoka wapi na roho ngumu hivi? Halafu cha

Kuduishe Kisowile (@kudu_ze_kudu) 's Twitter Profile Photo

TANGAZO LA KAZI! 1. Daktari 1 (MD) -awe na leseni hai, asiwe muajiriwa wa serikali 2. ⁠Lab Technologist 1 3. ⁠Lab Technician 1 4. ⁠Nurse (BsCN) 1 5. ⁠Pharmaceutical Technician 1 6. ⁠Pharmaceutical Assistany 1 7. ⁠Nurse Diploma 4 Tuma CV & piga ☎️ 0759775788 Dr.Kenneth

TANGAZO LA KAZI!

1. Daktari 1 (MD) -awe na leseni hai, asiwe muajiriwa wa serikali
2. ⁠Lab Technologist 1
3. ⁠Lab Technician 1
4. ⁠Nurse (BsCN) 1
5. ⁠Pharmaceutical Technician 1
6. ⁠Pharmaceutical Assistany 1
7. ⁠Nurse Diploma 4

Tuma CV & piga ☎️ 0759775788 Dr.Kenneth
Miss Chelsea1221 (@misschelsea1221) 's Twitter Profile Photo

#ChapaRepost Keshoooooooo tuna #BreakinNews nyingi sanaa kama mchanga Tukutane sa mbili hapa hapa X Space kwa Miss Chelsea1221 Farhan Kihamu Jr Prisca Kishamba Presenter Noah 👉Wana #Chelsea na msio Chelsea tunaomba mtusaidie kupost kwa kurasa zenu,Kila mmoja na asikie habar ya kusisimua

#ChapaRepost

Keshoooooooo tuna #BreakinNews nyingi sanaa kama mchanga

Tukutane sa mbili hapa hapa X Space kwa <a href="/MissChelsea1221/">Miss Chelsea1221</a>

<a href="/FKihamu/">Farhan Kihamu Jr</a>
<a href="/PKishamba/">Prisca Kishamba</a>
<a href="/PresenterNoah/">Presenter Noah</a>

👉Wana #Chelsea na msio Chelsea tunaomba mtusaidie kupost kwa kurasa zenu,Kila mmoja na asikie habar ya kusisimua