Arnold E. Sariah (@a04_e) 's Twitter Profile
Arnold E. Sariah

@a04_e

ID: 808624842

calendar_today07-09-2012 10:45:01

74 Tweet

4 Followers

81 Following

Tanzania Abroad TV (@abroadtanzania) 's Twitter Profile Photo

CHUMA KACHOKA NA UTAPELI WA DINI HUKO KENYA "Nimeongea na watendaji wa serikali yangu kuhusu baadhi ya wahubiri kucheza na imani za wakenya. Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na

CHUMA KACHOKA NA UTAPELI WA DINI HUKO KENYA 

"Nimeongea na watendaji wa serikali yangu kuhusu baadhi ya wahubiri kucheza na imani za wakenya. Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na
The mandevu (@ze_mandevu) 's Twitter Profile Photo

Tanzania kuna uhababa wa Sukari lakini Zambia na Malawi wanazalisha Sukuri nyingi na ni bei rahisi kuliko yetu, kwanini Serikali yetu inakataza kuuzwa kwa hizo Sukari hapa kwetu? πŸ€”

Tanzania kuna uhababa wa Sukari lakini Zambia na Malawi wanazalisha Sukuri nyingi na ni bei rahisi kuliko yetu, kwanini Serikali yetu inakataza kuuzwa kwa hizo Sukari hapa kwetu? πŸ€”
Bin Kazumari (@jemedarisaid) 's Twitter Profile Photo

Bakhresa anajifundisha namna ya kuwa tajiri kwa muuza Karanga wa Mbagala. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Hii nchi tunapenda sana ujinga ujinga na wakubwa wanatupa tunachotaka.

Bakhresa anajifundisha namna ya kuwa tajiri kwa muuza Karanga wa Mbagala.  πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. 

Hii nchi tunapenda sana ujinga ujinga na wakubwa wanatupa tunachotaka.
Hancy Machemba (@hancymachemba) 's Twitter Profile Photo

Mdogo wangu Upendo Peneza mm kama kaka yako nakushauri sasa ni wakati wa kutuambia mazuri ya CCM maana ndiyo mahusiano yako mapya. Kila siku kumzungumzia ex wako tunaweza kuamini labda unammiss sana huku kwingine upo ki mwili tu roho ipo kwa ex.

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

Sheria nzuri ni kipofu.Haichagui wa kukamata.Ukiona sheria katika jambo hili inakamata huyu na jambo hili hili inamuacha huyu hiyo ni sheria Mbaya.Sheria haitakiwi kuwa na Macho. Siku za hivi karibuni sheria zetu zimeanza kumea macho.Tutalihafibu Taifa letu. Ninajitahidi kusoma

Sheria nzuri ni kipofu.Haichagui wa kukamata.Ukiona sheria katika jambo hili inakamata huyu na jambo hili hili inamuacha huyu hiyo ni sheria Mbaya.Sheria haitakiwi kuwa na Macho. Siku za hivi karibuni sheria zetu zimeanza kumea macho.Tutalihafibu Taifa letu.

Ninajitahidi kusoma
Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

DAR: Mchambuzi na Mtangazaji, Edo Kumwembe kupitia Kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi FM ameeleza hoja ya Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kuwa Wabunge wapewe 'plate number' maalumu sio kipaumbele cha Watanzania huku akitoa mfano kuwa Viongozi wengi wa Nchi masikini wanapenda

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

John Heche Pale MLIMANI CITY Ilipigwa Operation Okoa Chama Toka Kwenye Mikono Ya CCM Sijutii Hata Kidogo Muda Niliotumia Kuwapigania TUNDU LISSU Na JOHN HECHE Na Mungu Mkubwa Mkashinda Chama Kikawa Kipo Kwenye Mikono Salama. Waliokula PESA Wametimkia CHAUMMA Wanapaswa Kuzifanyia Kazi Huko.

<a href="/HecheJohn/">John Heche</a> Pale MLIMANI CITY Ilipigwa Operation Okoa Chama Toka Kwenye Mikono Ya CCM Sijutii Hata Kidogo Muda Niliotumia Kuwapigania TUNDU LISSU Na JOHN HECHE Na Mungu Mkubwa Mkashinda Chama Kikawa Kipo Kwenye Mikono Salama. Waliokula PESA Wametimkia CHAUMMA Wanapaswa Kuzifanyia Kazi Huko.