Dioniz (@dioniz__) 's Twitter Profile
Dioniz

@dioniz__

Pharmacist |Gymit| Waves don’t Die

ID: 1098293629519568902

linkhttps://www.linkedin.com/in/dioniz-mussa-9108a225a calendar_today20-02-2019 18:49:41

7,7K Tweet

1,1K Takipçi

1,1K Takip Edilen

Dr. Muyabin (@muya_bin) 's Twitter Profile Photo

Broken/ fractured teeth? 🦷🦷 No problem ☎️Call 0785335651 Book your appointment today!! Available in Dar es salaam, Tanzania.

Abdully Sahaya (@sahaya360) 's Twitter Profile Photo

Kudhibiti #AMR inahitajika juhudi ya pamoja kutoka kwa watunga sera, Wizara ya Afya, Wizara ya kilimo, wataalamu wa Afya, wataalamu wa kilimo na jamii yote kwa ujumla, ni muda sasa wa serikali kuipa #AMR kipaumbele na kusaidia utekelezaji wa NAP - AMR hatua kwa hatua. #AlnoorFm

Kudhibiti #AMR inahitajika juhudi ya pamoja kutoka kwa watunga sera, Wizara ya Afya, Wizara ya kilimo, wataalamu wa Afya, wataalamu wa kilimo na jamii yote kwa ujumla, ni muda sasa wa serikali kuipa #AMR kipaumbele na kusaidia utekelezaji wa NAP - AMR hatua kwa hatua. #AlnoorFm
Dr. Muyabin (@muya_bin) 's Twitter Profile Photo

Ivi ni nani alisema mama mjamzito harusiwi kwenda kwa daktari wa afya ya kinywa na meno? Angalia madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito 👇🏿👇🏿 Meno yake karibu yote yameshaanza kuharibika , mnataka watu wawe vibogoyo?Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 Tanzania Dental Association (TDA) DMFT =20+

Ivi ni nani alisema mama mjamzito harusiwi kwenda kwa daktari wa afya ya kinywa na meno?
Angalia madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito  👇🏿👇🏿

Meno yake karibu yote yameshaanza kuharibika , mnataka watu wawe vibogoyo?<a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿</a> <a href="/dental_tda/">Tanzania Dental Association (TDA)</a> 

DMFT =20+
Paulyn (@paulynbiseko) 's Twitter Profile Photo

Machi 21 ni hujulikana kama "down syndrome day" ikiwa ni siku mahususi kwa ajili ya kukumbuka watu wanaoishi na hitilafu ya kinasaba ,"trisomy21" badala ya kuwa na chromosomes 46 wao wanakua nazo 47, Moja ikiongezeka katika chromosome namba 21.

Machi 21 ni hujulikana kama "down syndrome day" ikiwa ni siku mahususi kwa ajili ya kukumbuka watu wanaoishi na hitilafu ya kinasaba ,"trisomy21"  badala ya kuwa na chromosomes 46 wao wanakua nazo 47, Moja ikiongezeka katika chromosome namba 21.
MSDtz (@msdtanzania) 's Twitter Profile Photo

Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), wanaosomea Udaktari mwaka wa nne (MD4) wakiwa kwenye matukio mbalimbali walipotembelea Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD) yaliyoko Keko jijini Dar es Salaam.

Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), wanaosomea Udaktari mwaka wa nne (MD4) wakiwa kwenye matukio mbalimbali walipotembelea Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD) yaliyoko Keko jijini Dar es Salaam.