Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
@zittokabwe
Member and former Party Leader @ACTWazalendo, Tegadalay ተጋዳላይ #HifadhiJamii #Ajira #MaishaNafuu #TheFutureIsPurple #Tanzania #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ID:119385045
http://www.actwazalendo.or.tz 03-03-2010 13:48:48
158,0K Tweets
1,7M Followers
4,9K Following
Mashabiki Wa Timu Ya Mwandiga Veteran Wakishangilia Pamoja Mwenyekiti Wa ACTWazalendo Mkoa Wa Kigoma Kiza Mayeye. Baada ya Ushindi Dhidi ya Airport Fc kwenye ligi ya Wazalendo Cup 2024
Dada yetu Dr. Nasra Nassor Omar amepita kwenye mchuano wa kwanza wa East Africa She Awards, ameingia kwenye Mchuano wa Pili . Tuendelee kumpigia kura 👇
ea.sheawards.africa
1.Jisajili ( Sign Up)
2.Hakiki usajili ( Verify)
3.Login
4. Search Name ' Nasra Nassor'.
5. Vote Now
#TwenzetuZanzibar ✅
#MoyoWetuRufuji ✅
#TwenzetuKilimanjaro ✅
Sasa #TwenzetuKigoma . Ni Mei 5, 2024. Hii si ya kukosa. Siku ya kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ACTWazalendo.
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Wakati wanateremka Maporomoko ya Materuni, viongozi wa ACTWazalendo walipata nafasi kujionea utayarishaji wa kiasili wa kahawa.
Dorothy Semu Salim Bimani
Isihaka Mchinjita
#10MaslahiYaUmma
#10MamlakaKamili
#TwenzetuKigoma
📌Pemba
Wanachama kutoka maeneo mbali mbali ya Pemba wamefika katika ukumbi wa Samail Hall Chakechake.
Katika mkutano huu wa ndani Mwenyekiti wa Chama ndugu Othman Masoud Othman pamoja na Makamo Mwenyekiti ndugu Ismail Jussa wamezungumza na viongozi wa Mikoa.
Mkutano huu ni wa kwanza…
Tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa The Chanzo na wazungumzaji wetu Aidan Eyakuze Togolani Mavura
fatma karume aka Shangazi na Thomas J. Kibwana kwa mjadala uliofanyika ijumaa kuhusu Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Bofya kusikiliza mazungumzo
twitter.com/i/spaces/1Mnxn…
📍Nshara Machame
'Ni baraka kubwa. Katika usharika wenu huu, viongozi wakubwa wawili wa vyama vikubwa viwili, wanatoka katika usharika wenu.'
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe akizungumza baada ya ibada ya kumshukuru Mungu kwa mambo makubwa aliyomfanyia KC Dorothy Semu.
ACTWazalendo
Chama pekee Tanzania kinacholinda maslahi ya demokrasia, na kuiishi demokrasia ni ACTWazalendo
#TheFutureisPurple
#MaslahiYaWote
#TwenzetuKigoma
📍Nshara Machame
'Ni baraka kubwa. Katika usharika wenu huu, viongozi wakubwa wawili wa vyama vikubwa viwili, wanatoka katika usharika wenu.'
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe akizungumza baada ya ibada ya kumshukuru Mungu kwa mambo makubwa aliyomfanyia KC Dorothy Semu.
ACTWazalendo
'Zitto MwamiRuyagwa Kabwe natarajia kwamba utaendelea kukaa pembeni kama mshauri. Mimi nilikuwa Mkuu wa Kanisa, sasa nimemaliza kipindi changu kama ulivyomaliza; na ukaachia kwa amani—sio kama kwenye vyama vingine.'
Askofu Mstaafu wa KKKT
Fredrick Shoo
📍Nshara Machame
'Ni baraka kubwa. Katika usharika wenu huu, viongozi wakubwa wawili wa vyama vikubwa viwili, wanatoka katika usharika wenu.'
Nikizungumza baada ya ibada ya kumshukuru Mungu kwa mambo makubwa aliyomfanyia KC wetu Dorothy Semu.
ACTWazalendo