Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profileg
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿

@wizara_afyatz

Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania.
Ukurasa huu unaendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - AFYA

ID:3044753523

linkhttp://www.moh.go.tz calendar_today19-02-2015 04:54:19

5,9K Tweets

232,4K Followers

135 Following

Follow People
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA WATASAIDIA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO WACHANGA

Na WAF - Iringa

Mpango kabambe wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia utasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga kwa kuwajengea uwezo watoa huduma wengine katika Hospitali za Halmashauri kwa kuwa dhamira…

MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA WATASAIDIA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO WACHANGA Na WAF - Iringa Mpango kabambe wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia utasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga kwa kuwajengea uwezo watoa huduma wengine katika Hospitali za Halmashauri kwa kuwa dhamira…
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

“Madaktari hawa ukiwakuta katika maeneo yao ya kazi mfano Muhimbili, Bugando gharama yake ni kubwa, lakini kwa siku Tano watatoa huduma za kibingwa kwa mujibu wa gharama zilizopangwa na Hospitali.” Ummy Mwalimu, MP

“Madaktari hawa ukiwakuta katika maeneo yao ya kazi mfano Muhimbili, Bugando gharama yake ni kubwa, lakini kwa siku Tano watatoa huduma za kibingwa kwa mujibu wa gharama zilizopangwa na Hospitali.” @ummymwalimu
account_circle
MR BEN(@Eric__Bernard) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu, MP anasema Rais Samia Suluhu Hassan ameandika historia kubwa na ya Kipekee Duniani kwa Kupunguza Vifo idadi ya vifo vya wajawazito kwa asilimia 80 tangu aingie Madarakani.

account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri Ummy Mwalimu, MP amesema moja ya lengo la madaktari wa Rais Samia ni kuwajengea uwezo watoa huduma katika maeneo ya kazi ili kuimarisha utambuzi wa magonjwa, matibabu ya magonjwa, upasuaji pamoja na rufaa kwa wagonjwa wa ngazi ya Hospitali ya Halmashauri, tunataka kuondoka…

Waziri @ummymwalimu amesema moja ya lengo la madaktari wa Rais Samia ni kuwajengea uwezo watoa huduma katika maeneo ya kazi ili kuimarisha utambuzi wa magonjwa, matibabu ya magonjwa, upasuaji pamoja na rufaa kwa wagonjwa wa ngazi ya Hospitali ya Halmashauri, tunataka kuondoka…
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

“Madaktari hawa watakaa hapa Frelimo kwa muda wa siku Tano, wengine tutawapeleka katika Hospitali nyingine za Halmashauri kwa lengo la kutoa huduma za kibingwa kwa wagonjwa wanaokuja na kuondoka (wagonjwa wa nje) pamoja na wagonjwa watakaokazwa.” Ummy Mwalimu, MP

“Madaktari hawa watakaa hapa Frelimo kwa muda wa siku Tano, wengine tutawapeleka katika Hospitali nyingine za Halmashauri kwa lengo la kutoa huduma za kibingwa kwa wagonjwa wanaokuja na kuondoka (wagonjwa wa nje) pamoja na wagonjwa watakaokazwa.” @ummymwalimu
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

'Tumewaletea jopo nzuri sana la Madaktari Bingwa wa Rais Samia ili kuleta huduma za kibingwa na bobezi karibu na wananchi na azma kubwa ni kuboresha huduma za afya nchini'. Waziri Ummy Mwalimu

'Tumewaletea jopo nzuri sana la Madaktari Bingwa wa Rais Samia ili kuleta huduma za kibingwa na bobezi karibu na wananchi na azma kubwa ni kuboresha huduma za afya nchini'. Waziri Ummy Mwalimu
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu, MP leo Mei 6, 2024 amezindua Mpango kabambe wa utoaji wa huduma za Kibingwa kwenye Hospitali 184 katika Ngazi ya Halmashauri zinazofanywa na Madaktari bingwa wa Dkt. Samia yenye kauli mbiu isemayo “Tumekufikia, Karibu Tukuhudumie”.

Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu leo Mei 6, 2024 amezindua Mpango kabambe wa utoaji wa huduma za Kibingwa kwenye Hospitali 184 katika Ngazi ya Halmashauri zinazofanywa na Madaktari bingwa wa Dkt. Samia yenye kauli mbiu isemayo “Tumekufikia, Karibu Tukuhudumie”.
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu, MP akisalimiana na Madaktari Bingwa pamoja na wananchi leo Mei 6, 2024 waliohudhuria katika uzinduzi wa utoaji wa huduma za kibingwa zinazotolewa na madaktari wa Rais Samia kwa siku Tano katika Hospitali ya Wilaya ya Iringa Mjini (Frelimo).

Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu akisalimiana na Madaktari Bingwa pamoja na wananchi leo Mei 6, 2024 waliohudhuria katika uzinduzi wa utoaji wa huduma za kibingwa zinazotolewa na madaktari wa Rais Samia kwa siku Tano katika Hospitali ya Wilaya ya Iringa Mjini (Frelimo).
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga kiasi cha shilingi milioni 300 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa jengo la kuhifadhia Maiti kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Katavi.

Hayo yamebaishwa Bungeni na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel leo Mei 06,2024 Jijini Dodoma…

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga kiasi cha shilingi milioni 300 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa jengo la kuhifadhia Maiti kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Katavi. Hayo yamebaishwa Bungeni na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel leo Mei 06,2024 Jijini Dodoma…
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Hii ni kubwa kuliko…! Kambi ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa na mafunzo elekezi kwa wataalam waliopo kwenye Hospitali zote 184 za Halmashauri za Wilaya, haijawahi tokea.

Chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Historia inaandikwa kupitia…

account_circle
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

.Maandalizi ya Kambi maalum ya Madaktari Bingwa na Bobezi wa Rais Samia Kanda ya Kati inayojumisha Hospitali za Rufaa Za mikoa ya Iringa, Singida, Dodoma, Tumbi na wenyeji Morogoro yamekamilika, Kambi hiyo itaanza kutoa huduma za kibingwa na bobezi kuanzia tarehe 6 hadi 10 Mei,…

account_circle
MR BEN(@Eric__Bernard) 's Twitter Profile Photo

TUTAZIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA UKUNGA KUKABILINA NA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI

Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuboresha huduma za Ukunga sambamba na kuongeza idadi yao ili kupunguza vifo vya watoto wa mchanga.

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu, MP amesema hayo…

TUTAZIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA UKUNGA KUKABILINA NA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuboresha huduma za Ukunga sambamba na kuongeza idadi yao ili kupunguza vifo vya watoto wa mchanga. Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu amesema hayo…
account_circle