Togolani Mavura
@tonytogolani
Kila Mtu kwa KARAMA yake, KADRI yake na KUDRA yake!
To Each, According to Own Gifts, Own Abilities and Own Destiny
ID:458274726
08-01-2012 11:18:55
80,3K Tweets
255,9K Followers
2,0K Following
Join us tomorrow for a book discussion, featuring Prof. Joseph Semboja and Prof. Oliver Morrissey.
⏱️ 15:30 hours (EAT)
In-person: Reserve your seat through [email protected]
Online: ow.ly/mzjO50RmR1e
#UONGOZILibrary #Research4SDGs
ijumaa ya aprili 26, The Chanzo x Salim Ahmed Salim Digital Archive wataendesha mjadala hapa X kuhusu miaka 60 ya muungano, tukijaribu kuzungumzia pia kavazi hilo. tukiwa tunaelekea huko, nimefanya 'review' ndogo kuhusu kavazi hilo na nakukaribisha kuisoma hapa: thechanzo.com/2024/04/24/tun…
mjadala huo wa aprili 26 utahusisha watu mbalimbali ambao watakuja kuuchambua muungano kwa mitazamo mbalimbali. watu hao ni kama Aidan Eyakuze x Togolani Mavura x fatma karume aka Shangazi. mkaribie sana: x.com/TheChanzo/stat…
📍Ikulu, Chamwino
🏅🎖
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Makamu Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mohamed Gharib Bilal kwenye hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino
📍Ikulu, Chamwino
🏅🎖
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Samwel Malecela kwenye hafla
📍Ikulu, Chamwino
🏅🎖
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye hafla iliyofanyika
This Friday, SASDA/The Chanzo will host a space to commemorate the 60th anniversary of the Union between Tanganyika and Zanzibar.
With speakers like Togolani Mavura, Aidan Eyakuze, fatma karume aka Shangazi, and Thomas J. Kibwana. Come reflect and join us for insightful discussions from 4 to 5pm.
'Kesho ya jana ndio leo. Huna hakika na kesho ya leo. Kamilisha nadhiri ulizojiwekea jana maana leo yako ni kwa fadhila na rehema za Mungu tu.' ~ Togolani Mavura
🔴 #USIKOSE Kushiriki Mjadala wa Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utakaofanyika X (zamani Twitter ) space ya The Chanzo kwa kushirikiana na Salim Ahmed Salim Digital Archive.
Ni siku ya Ijumaa, 📆 Aprili 26, 2024, kuanzia ⏰Saa 10:00 - 11:00 jioni.
Wazungumzaji katika mjadala huo
Ungana na Togolani Mavura, Aidan Eyakuze, fatma karume aka Shangazi na Thomas J. Kibwana siku ya Ijumaa, Aprili 26, 2024, kuanzia saa kumi mpaka kumi na moja jioni katika mjadala wa miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utakaofanyika X space.
Salim Ahmed Salim Digital Archive
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Ali J. Mwadini amezungumza na uongozi, watumishi na wawakilishi wa wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Utalii kubadilishana mawazo kuhusu namna ya kutumia fursa zilizopo ktk eneo la uwakilishi. Ali J. Mwadini
Mhe. Balozi Ali J. Mwadini ametembelea chuo cha Taifa cha utalii (NCT), na kufanya mazungumzo na viongozi, watumishi na wawakilishi wa wanafunzi juu ya namna ya kutumia fursa zinazpatika katika eneo la uwakilishi wa Tanzania Embassy in France (Ufaransa, Uhispania, Ureno, Morocco na Tunisia).
📍Kibaha, Pwani
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗥𝗜𝗗𝗛𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗕𝗔𝗟𝗢𝗭𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗡𝗚𝗘𝗭𝗔 𝗝𝗨𝗛𝗨𝗗𝗜
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu amewapongeza Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali
Rais wa Tanzania Samia Suluhu amewapongeza Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kwa kazi nzuri ya uwakilishi ambayo inaonekana kwa kuongezeka kwa masoko...
MFA Tanzania: RAIS SAMIA ARIDHISHWA NA KAZI YA MABALOZI NA KUWAT... mfatanzania.blogspot.com/2024/04/rais-s…