Hon: Jumanne Kishimba
@mh_kishimba
Politician|Member of Parliament, Kahama Urban 2016-2020|2020-2025|Farmer|Busness man.
ID: 1590296146014081024
09-11-2022 10:52:18
581 Tweet
536 Followers
694 Following
ANESTHESIA COURSEFOR SEPTEMBER INTAKE From 3rd JULY 2023 APPLICATION IS NOW OPEN TO 19 AUGUST 2023 at Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)
Upimaji wa Afya ni muhimu sana. Maradhi mengi yakigunduliwa mapema huwa rahisi kutibu na kuzuia madhara. Ndugu zangu wa Tanga tumewaletea fursa hii ya kupima Afya yako bure. Karibuni Viwanja vya Sekondari Usagara Tar 21 - 25 Agosti kuanzia saa 2 asubuhi Dr Isaac Maro
ACHENI UZUSHI. Ndege ya Rais ipo Tanzania. HAIJAKAMATWA. Agosti 16, 2023 ilikwenda Luanda, Angola kumpeleka Makamu wa Rais Mhe. Dr. Philip Isdor Mpango ambaye ameshiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kwa niaba ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu na amerejea Agosti 18, 2023.
MBUNGE UMMY MWALIMU AFANYA ZIARA KATA YA MAWENI. Mbunge wa Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu MP Leo amefanya ziara Kata ya Maweni pamoja na kufanya mkutano wa hadhara katika kata hiyo kuelezea Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa CCM katika katika Kata hiyo na Jimbo la Tanga Mjini.
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa anatarajiwa kufungua Maonesho ya Madini na Fursa Uwekezaji Mkoa wa Lindi Kauli mbiu ya maonesho hayo ni "Wekeza Lindi kwa Ukuaji wa Uchumi wa Maendeleo ya Jamii" #LindiKuchele Thamani Madini