Mtanzania (@frank_lewice) 's Twitter Profile
Mtanzania

@frank_lewice

A servant of Christ Jesus, Evangelism office!

ID: 1580565583506071553

calendar_today13-10-2022 14:27:03

18,18K Tweet

271 Followers

346 Following

Mchokozi !! (@olemtetezi) 's Twitter Profile Photo

Kwenye Kesi Ya Lissu Majirani Zetu Wa Kenya HAWAPOI Wala HAWABOI Unamkamata Wakili Na Waziri Mstaafu Wa Sheria Martha Karua, Anaingia Boni Mwangi Unamkamata Boni Mwangi Anaingia Jaji Mkuu Mstaafu Willy Mutunga Unamkamata Jaji Mutunga Anaingia Jaji Mkuu Mwingine David Maraga

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu anahoji; "Hakimu amesema mshtakiwa abaki na mawakili wake pekee yao for consultation. Nikiwa gerezani askari wananizunguka. Hakimu amesema nibaki na mawakili wangu bado wamenizunguka. Halafu mmewaachia. How come? Hii inawezekanaje, hatuta zungumza.."-;

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Ignorance is an enemy, even to its owner. Knowledge is a friend, even to its hater. Ignorance hates knowledge because it is too pure.

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Nilikuwa Nairobi Wakati Mh Lissu Ni Mgonjwa Aliposhambuliwa Kwa Risasi , Kitu Kimoja Kikubwa Ktk Kinywa Chake Ni Nguvu Ya Ukiri Chanya.Katika Nguvu Ya Imani Kukiri Ni Zaidi Ya Maombi. Mkti Lissu Hajawahi Kukiri Hofu Hata Katikati Ya Matatizo Makubwa. Leo , Mahakamani Alikuwa

Nilikuwa Nairobi Wakati Mh Lissu Ni Mgonjwa Aliposhambuliwa Kwa Risasi , Kitu Kimoja Kikubwa Ktk Kinywa Chake Ni Nguvu Ya Ukiri Chanya.Katika Nguvu Ya Imani Kukiri Ni Zaidi Ya Maombi. Mkti Lissu Hajawahi Kukiri Hofu Hata Katikati Ya Matatizo Makubwa. Leo , Mahakamani Alikuwa
MwanzoTV (@mwanzotv) 's Twitter Profile Photo

#KENYA: EX-CJ MARAGA STRONGLY CONDEMNS THE DETENTION OF KENYAN ACTIVISTS & LEGAL TEAM IN TANZANIA Former Chief Justice David Maraga has condemned the detention of Kenyan activists and legal professionals in Tanzania. In a statement, Maraga raised concerns about the increasing

#KENYA: EX-CJ MARAGA STRONGLY CONDEMNS THE DETENTION OF KENYAN ACTIVISTS & LEGAL TEAM IN TANZANIA
Former Chief Justice David Maraga has condemned the detention of Kenyan activists and legal professionals in Tanzania.
In a statement, Maraga raised concerns about the increasing
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Dunia haitanyamaza, kama mnakamata watu na kuwapa kesi za uongo mjue Dunia ni kijiji na haitakaa kimya. Mnaweza kutumia mabavu hapa ndani na kucontrol vyombo vya habari lakini wengine watasema na watu watajua uovu wenu. Asante STEPHEN LETOO

The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

THRDC: Mwanaharakati Boniface Mwangi wa Kenya na Mwanasheria Agather Atuhaire wa Uganda Wanashikiliwa Kituo cha Kati Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza kuwa mwanaharakati kutoka Kenya Boniface Mwangi, pamoja na mwanasheria kutoka Uganda Agather

THRDC: Mwanaharakati Boniface Mwangi wa Kenya na Mwanasheria Agather Atuhaire wa Uganda Wanashikiliwa Kituo cha Kati

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza kuwa mwanaharakati kutoka Kenya Boniface Mwangi, pamoja na mwanasheria kutoka Uganda Agather
Mtanzania (@frank_lewice) 's Twitter Profile Photo

Committed to people for money 🤣. Hivi Hawa wajinga watamueleza nani awaelewe? Shortcuts hazijawahi kuleta majibu ya kudumu, Associate CPA Catherine Ruge (Msubhati) . Hongeren Kwa kuendelea kupambania matumbo yenu na kutafuta kipato Kwa namna yoyote mkono uende kinywani 😀!

Committed to people for money 🤣. Hivi Hawa wajinga watamueleza nani awaelewe? Shortcuts hazijawahi kuleta majibu ya kudumu,  <a href="/CatherineRuge/">Associate CPA Catherine Ruge (Msubhati)</a> . Hongeren Kwa kuendelea kupambania matumbo yenu na kutafuta kipato Kwa namna yoyote mkono uende kinywani 😀!
Mtanzania (@frank_lewice) 's Twitter Profile Photo

Kajiteulia refa, refa akipendelea hakuna pa kushitaki. Wala yeye hashitakiwi popote.., CCEM imejitengenezea njia ya kuimiliki TANZANIA. Umma wala mahakam hazna nguvu za Kuwajibisha Raisi na kuna mtu anatetea. For good, hivi nnani aliyetuibia Akili zetu? 😭

Kajiteulia refa, refa akipendelea hakuna pa kushitaki. Wala yeye hashitakiwi popote.., CCEM imejitengenezea njia ya kuimiliki TANZANIA. Umma wala mahakam hazna nguvu za Kuwajibisha Raisi na kuna mtu anatetea. For good, hivi nnani aliyetuibia Akili zetu? 😭
Mtanzania (@frank_lewice) 's Twitter Profile Photo

Hawa wazee hawana hata maono ya kisiasa wapo wapo tu kula kinachopatikana kutok mikono ya watawala 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mtanzania (@frank_lewice) 's Twitter Profile Photo

Heshima uliyo earn Kwa jamii ya WATANZANIA unaipoteza kizembe sana. Kwanini hekima haijakuongoza kunyamazahasa katika hili? This is rubbish brother Peter Madeleka