MMAREKANI MWEUSI ๐ฐ๐ช๐บ๐ธ
@davitheempire
Generally talk a lot about #M4C #KatibaMpya #ManchesterCity #HumanRights #ChangeTanzania ๐ A Business man- -C.E.O of Next Zone Shine Wear Group.
ID: 2436105846
http://mwakaT.com 09-04-2014 22:15:18
185,185K Tweet
22,22K Followers
1,1K Following
#BreakingNews Boniface Jacob Boniface Jacob amekamatwa eneo la hotel ya Golden Fork ,Sinza majira ya saa 11.09 jioni ya leo tarehe 18 Septemba 2024 ambapo polisi wawili (2) wenye sare na askari watatu (3) waliokuwa wamevaa kiraia na wenye silaha walifika hotelini hapo na
Nimesikitishwa sana na hili tukio la kukamatwa kwa Boniface Jacob huu utawala mwisho wake hautakua mzuri kabisa.
โผ๏ธALERTโผ๏ธ Hawa watu wawili wamekuwa wakifanya Doria nyumbani kwa Mhe. Freeman Mbowe na kwenye Ofisi za Chama Mikocheni tangu Jana. Leo J5 wameshinda kwenye hilo Duka mbele ya ofisi ya Makao Makuu ya Chama Mikocheni. Hawa wanaweza kuwa ndio wale watu wa Mafwele na TASK FORCE?
"Ipo Cku Polisi Watakapotaka Kuwatawanya Waandamanaji Kwa Mitutu Ya Bunduki/Mabomu Ya Machozi,Wataona Wanaoandamana Ni Watoto Wao,Wake/Waume/Baba/Mama/Wajomba/Babu/Bibi Na Majirani Zao. Hapo Ndipo Wataweka Silaha Chini Na Kuungana Na Kuandamana Pamoja! IPO CKU" - #NIPENI_MAUA_YANGU๐
Sema nini Sheikh Boniface Jacob Hisia zinaniambia hao Mapolisi waliokukamata, 2025 Watakupigia Saluti na Kukuita Muheshimiwa na Utawapa Sana Maagizo.. Ni Suala la Muda ๐๐พ๐
MUNGU Akutetee Mhe. Meya MSTAAFU wa UBUNGO Boniface Jacob WANANCHI tunasimama na wewe kaka.