Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile
Eng. DaudiKasimu

@daudi_kasimu

Environmental Engineer ARU 2024|Former VP ARUSO 16|Minister of Environment in Tanzania Youth Parliament 2022|Katibu UVCCM ARU 2023/24|Man Utd & Young Africa fan

ID: 1499711417657610243

linkhttps://www.instagram.com/eng.kasimudaudijabiri0255?igsh=MWQ3ZjZhOHRsanVsZw== calendar_today04-03-2022 11:46:24

349 Tweet

284 Followers

864 Following

Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Tanga ni sehemu nzuri ambayo mtu unaweza Kupata mental relaxation huku ukiwa unasindikizwa na mapenzi Maridhawa kutoka kwa wasambaa, wabondei, wazigua, wadigo

Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Kwa yote ambayo yame fanyika katika sekta ya maji tangu mwaka 202 mpaka Sasa 2025 march 22, Samia Suluhu anastahili tuzo hii na heshima kama mlezi wa maji na usafi wa mazingira barani Africa.

Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Ufunguzi wa kiwanda hiki cha LESSO Utapunguza kwa kiasi kikubwa gharama za usafirishaji wa malighafi za kusambazia maji majumbani na itaongeza ufanisi Katika Utekelezaji wa miradi ya maji

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

RAIS SAMIA AMEITENDEA HAKI TANZANIA Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla ameeleza kuwa Rais samia suluhu amefanya mambo makubwa ya maendeleo anastahili pongezi. Hayo ameyasema wakati anahutubia maelfu ya wananchi walio jitokeza kushiriki maadhimisho ya

RAIS SAMIA AMEITENDEA HAKI TANZANIA

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla ameeleza kuwa Rais  samia suluhu amefanya mambo makubwa ya maendeleo anastahili pongezi. Hayo ameyasema  wakati anahutubia maelfu ya wananchi walio jitokeza kushiriki maadhimisho ya
Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Muda wa kujiandikisha, na kuhakiki taarifa za mpiga kura kwa ajiri ya uchaguzi wa madiwani, wabunge, na Rais wa JMT kwa Mkoa wa Dsm umesogezwa mpaka J4 tarehe 25 march 2025. Ni muhimu kutumia muda huu ili upate haki yako ya msingi ya kushiriki ktk uchaguzi wewe kama kijana

Ibrahim Mtilinzi (@ibrahimmtilinzi) 's Twitter Profile Photo

Dkt. Samia Nyota Inayo Ng'ara Africa na Duniani kwa Jumla juhudi zako Rais wetu mdiyo Mafanikio katika sekta ya Michezo Sekta ya Madini Miundo Mbinu Afya Elimu Pamoja na Mazingira Hongeta Sana Dkt Samia Suluhu Kuifungua Tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‘Š

Dkt. Samia Nyota Inayo Ng'ara Africa na Duniani kwa Jumla juhudi zako Rais wetu mdiyo Mafanikio katika sekta ya Michezo Sekta ya Madini Miundo Mbinu Afya Elimu Pamoja na Mazingira Hongeta Sana Dkt <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> Kuifungua Tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‘Š
Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Kuunga mkono juhudi za maendeleo kutokana na maendeleo yanayo one onekana sio dhambi, tuwatie moyo viongozi wana jitoa kwa uwezo was wote kwa ajiri ya jamii zetu

Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Sema viongozi wa @ChademaTz n wa hovyo sana yani Tundu Antiphas Lissu ,John Heche MNYIKA John John na genge lenu mna hadaa wenzenu eti no reform no election wakati mna ulafi wa madaraka, sasa hizo fomu za nini kama hamshirik uchagguzi?

Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Sir Jim Ratcliffe uso kwa uso na rais Samia Suluhu. Hii ni ishara tosha kwamba rais SSH ni sehemu ya mchezo wa mpira wa miguu na ulimwengu unatambua hilo. Amekuwa chachu ya mafanikio mengi katika sekta ya michezo nchi

Sir Jim Ratcliffe uso kwa uso na rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>. Hii ni ishara tosha kwamba rais SSH ni sehemu ya mchezo wa mpira wa miguu na ulimwengu unatambua hilo.
Amekuwa chachu ya mafanikio mengi katika sekta ya michezo nchi
Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

GGMU, mashabiki wa united tuna furaha mara mbili ,moja rais samia anafanya makubwa kwenye sekta ya michezo ,pili kuona sir Alex ferguson Ana recognise na kuappreciate anacho kifanya rais Samia Suluhu

BarakaWambura (@barakawamb) 's Twitter Profile Photo

Rais Mwenye Upendo na Huruma,Nafasi yake Kwa Taifa haijawahi kumpa kiburi kwani yeye ni Mama na mlezi wa Watanzania wote. Moyo wake ni wa kipekee sana,Upendo wake hauna mipaka hata Kama ya utofauti wa kisiasa Huruma yake haijawahi kuyumba Tunajivunia Uongozi wako Cc cousin 420

Rais Mwenye Upendo na Huruma,Nafasi yake Kwa Taifa haijawahi kumpa kiburi kwani yeye ni Mama na mlezi wa Watanzania wote.
Moyo wake ni wa kipekee sana,Upendo wake hauna mipaka hata Kama ya utofauti wa kisiasa  Huruma yake haijawahi kuyumba
Tunajivunia Uongozi wako
Cc
<a href="/420Cousin/">cousin 420</a>
Eng. DaudiKasimu (@daudi_kasimu) 's Twitter Profile Photo

Mahakama ni chombo huru na kinacho jitegemea hakipaswi kuingiliwa na mtu au taasisi yoyote. Watanzania tuiache mahakama ifanye kazi yake kwa uhuru na kwa haki @ChademaTz

JASUSI_MZEE ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช (@jasusi_mzee) 's Twitter Profile Photo

CARDINAL PENGO AMUONYA KITIMA KUTUMIA KANISA KWENYE SIASA. Waraka wa Kardinali Polycarp Pengo: Maonyo Kuhusu Matumizi ya Kanisa Katika Siasa Dar es Salaam, Tanzania โ€“ Aprili 21, 2025 Katika kipindi cha mabadiliko makubwa ya kijamii na kisiasa nchini Tanzania, Askofu Mkuu

CARDINAL PENGO AMUONYA KITIMA KUTUMIA KANISA KWENYE SIASA. 

Waraka wa Kardinali Polycarp Pengo: Maonyo Kuhusu Matumizi ya Kanisa Katika Siasa

Dar es Salaam, Tanzania โ€“ Aprili 21, 2025

Katika kipindi cha mabadiliko makubwa ya kijamii na kisiasa nchini Tanzania, Askofu Mkuu